Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Hizo ni mbinu za Kikwete sio za Samia; mbona hamsikii mkiambiwa huyo mkwere ndio mtawala!!!
Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Mbona Prof Mwandosya bado anang'ara siasani!
Professor Kabudi, denke bitte an die duetschen Tugend! Achana na huyo mama. Anakudhalilisha tu. Look! Professor Kabudi, Mzee Mkuchika mwenye umri wa miaka 73 atakuwa na mawazo gani kukupita wewe mwenye umri wa miaka 65 na Mh. Lukuvi, mwenye umri wa mika 66 kiasi kwamba yeye akapewa wizara? Das ist eine Grotesk!Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Kwani kugombea urais ni lazima uwe waziri?! Na baada ya kumpeleka huko Ikulu, Mwandosya hakuchukua fomu ya kugombea urais? Mbona una hoja za ajabu wewe?Kuna mtu asiyeugua? Key ni kwamba alimpeleka ikulu kuuua ndoto za urais za mwandosya
Upo sahihi kabisa, nashangaa huyu jamaa analeta viroja hapa! Nakumbuka wakati ule JK alikuwa very criticized kwa kuendelea kumkumbatia Mwandosya kwa sababu bado afya yake ilikuwa na mgogoro!Na Mwandosya amshukuru sana JK kwa kumfanya Waziri asiye na Wizara Maalum. Kumbuka kuwa Mwandosya aliugua pingili za UTI wa mgongo. Ilibidi apelekwe matibabu India kwa miezi kama 6 hivi ndipo akayengamaa. Angemuacha bila status ya Uwaziri nadhani Mwandosya asingeweza kujitubu kwa miezi 6 kwa fedha zake
Sawa mnaiju!Alafu mnafanya nini sasa?.Kila kitabu na zama zake.Imekwisha hiyo.Mama anaogopa uchaguzi wakati keshapiga kampeni mara mbili akizunguka nchi nzima. Kwa huu uoga ataumiza wengi sana. Baada ya kuona kelele nyingi kuhusu Lukuvi na Kabudi anajifanya eti kuwapa kazi maalum. Yaani anadhani hii mbinu wakongwe hatuijui.
Wacha ujinga kajiunga CCM kawakuta kamkuta Nani Kabudi ??Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Anang'ara kweli maana ndie makamu wa rais wa TzMbona Prof Mwandosya bado anang'ara siasani!
Mtu akiwa uzoefu hastaafu? Akistaafishwa nongwaaaaaaa??? Wabongo bwana. So lazima lukuvi na kabudi wawepo kwenye baraza ili haki tuonekane imetendeka???Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Ushauri tu ni kwamba akina Lukuvi wakatae hizo nafasi za rais hadharani kwa staha na wamuombe hadhadani kuendelea na kugombea uspika na waombe baraka zake HADHARANI NA KWA STAHA.Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Tushachoka kauli zenu bwana. In fact yeye ndo Rais, anaweza fanya chochote. Akiamu anaweza kuwapa wizara, akiamua anaweza asiwape. Mwacheni Rais apige kazi na cabinet yake. Wanaofaa ni wengi. Hawawez wote kuingia kwenye cabinetRais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Nasikia siku hizi kuna Zaramo Gang.Mkiambiwa mwenye nchi yupo Msg muelewage...
Huu ni ugonjwa mbaya kabisa si kwa vijana wala Wazee kufikiria fulani ni wa daraja la cheo flani. Cheo ni dhamana leo unaweza kuwa hapa kesho pale. Tafuta wasifu wa Mzee Msuya, Kawawa na hata Jaji Warioba. Mzee Kawawa aliwahi kuongoza nchi kama PM baada ya Mwalimu kujiuzulu kabla ya Tanganyika kuwa Jamhuri, lakini aliwahi kuwa Waziri bila wizara. Mzee Msuya aliwahi kutupwa benchi kabisa.Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Hivi taaluma ya lukuvi ninini mkuu?Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Kwa CC ipi itakayompitisha lukuvi acheni kuoverate watu bhanaLukuvi angekataa hii offer na kwenda kugombea u spika ambao angeupata. From there Mambo yake mengi sana yangefanikiwa
Hata mimi nilishangaa sana mama kuwa msemaji wa hawa jamaa.Inakuaje mtu ana kutoa uwaziri afu ana jitokeza hadharani eti ugombei u speaker while ni nafasi ambayo mtu yoyote ana weza kugombea hawe mbuge wala asiwe mbunge
Anang'ara wapi wakati amesahaulika kule kwao kijijini mwakaleli.Mbona Prof Mwandosya bado anang'ara siasani!
Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu