Mbona LUKUVI tayali ameshachukuaRais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Hakika LUKUVI ndio wenye CCM yao hao wengine ni Wahamiaji tuRais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Uliitaka hiyo nafasi yakuitwa ikulu wewe au acha wenzio wale keki ya taifa meza kuu , wivu nao sii mzuri. Pambana nawe ukaribiashwe keki meza kuu.Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Umeandika ujinga kama wajinga wengi wa kitanzania wanaopatikana huko FBwalishindwa kumlinda aliejua thamani yao ona sasa wanavyonyanyasika always mtu anaejua umuhimu wako mlinde hata kama hapendwi .
hii ni dhahili samia hataki hawa wazee washike popote wasije pangua mambo yaliyo nyuma ya pazia hii nchi wanaiharibu watu watatu tuu n*pe,rz 1 na december Mama anafanya juu chini kulinda hao watu sijui kwa nini kawa hivyo itc like mpk kuanguka kwa Magufuli anajua vizuri sana.
Wangemlinda wasingeteseka namna hii.walishindwa kumlinda aliejua thamani yao ona sasa wanavyonyanyasika always mtu anaejua umuhimu wako mlinde hata kama hapendwi .
hii ni dhahili samia hataki hawa wazee washike popote wasije pangua mambo yaliyo nyuma ya pazia hii nchi wanaiharibu watu watatu tuu n*pe,rz 1 na december Mama anafanya juu chini kulinda hao watu sijui kwa nini kawa hivyo itc like mpk kuanguka kwa Magufuli anajua vizuri sana.
Yeye mwenyewe pengine kaskia pale pale ukumbini kuwa hatochukua fomuLukuvi angekataa hii offer na kwenda kugombea u spika ambao angeupata. From there Mambo yake mengi sana yangefanikiwa
Kumbe unajua nguvu ya mitandao ya kijamiiKwani Ndugai kaondolewa na siasa za majukwaani Mwembeyanga?
Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Na huyo wa msg kuna siku atawapy*mbyia mbali maana si kwa ujinga huu mnaomletea. K8la kitu yeye, hamna cha kufanya?Mkiambiwa mwenye nchi yupo Msg muelewage...
Mwenye nchi ni nyerere ila hakutaka ajimilikishe angetaka hivyo hao wanasema ndio wenye hata tudingewajua
Rais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu
Na Mwandosya amshukuru sana JK kwa kumfanya Waziri asiye na Wizara Maalum. Kumbuka kuwa Mwandosya aliugua pingili za UTI wa mgongo. Ilibidi apelekwe matibabu India kwa miezi kama 6 hivi ndipo akayengamaa. Angemuacha bila status ya Uwaziri nadhani Mwandosya asingeweza kujitubu kwa miezi 6 kwa fedha zakeRais Samia anatumia mbinu za Kikwete kuangamiza vipaji vya watu katika uongozi
Kikwete alipoona Mwandosya ni President material alichofanya ni kusingizia eti kumpa kazi maalumu Ikulu akamzika rasmi kisiasa
Leo hii Rais anawaumiza Lukuvi na Kabudi kwa kuwaahidi cheo ambacho hakipo huu ni udhalilishaji mkubwa
Hivi kweli Lukuvi wanakosa Wizara za kuongoza ila kina Makamba wanapata wizara?
Rais Samia muogope Mungu,wewe umejiunga na CCM umewakuta hawa watu leo hii unawadhalilisha hivi?
Lukuvi ungechukua fomu ya kugombea uspika wa bunge hata wakikukata jina lako watanzania tutajua picha halisi kuwa Rais hawapendi na hawataki aidha yeye binafsi au mstaafu