Jaji Warioba kwenye dk 45 ITV

Jaji Warioba kwenye dk 45 ITV

Ukiwa na mtoto kama wewe nakupeleka ukaishi sudan.

Dah mkuu nikweli niliona uzi bila wachangiaji na kama unavyoona hauna jina na ndio mda niliondika hiyo comment. Ila nilivyoufungua tena nimeona kama ni wa muda takribani dakika 41 zimepita tangu utolewe. Nikawa haraka nicheck kumbe nishachelewa nimekuta ndio anamalizia. But very sorry for interruption.
 
Maoni yake ni kwamba haiwezekani sasa kuwahi na kuitumia katiba iliyopendekezwa
Haiwezekani hali kuendelea hivi ilivyo ni lazima suala la maadili litajitokeza.
Bunge lilingilia madaraka ya serikali na kwenda kufukuza katibu mkuu. Sio kazi ya bunge. Kazi ya bunge ni kuisimamia serikali na kuiambia ichukue hatua. Lisiporidhika na hatua zilizochukuliwa linapiga kura ya kutokuwa na imani.
 
Maskini, nimechelewa. Kipindi kinarudiwa lini? Ajuaye atujuze ili nasi tumfaidi huyu mkombozi
 
Nimechelewa kwa anaejua kipindi kinarudiwa lini na saa ngapi atujulishe.
 
Tunaomba jamani mtuambie kinarudiwa lini ili tuangalie na sisi tupate raha hizo
 
Aiseeeh!
Kuna kitu kaongea kizuri sana kama kingefanyika, tusingekuwa na huu mkanganyiko wa rasimu ya katiba na katiba pendekezwa! Kwamba,
Wabunge wa bunge la katiba wangechaguliwa na wananchi na kazi yao ingekuwa katiba tu, baada ya hapo, kazi yao imeisha! Walioshiriki bunge la katiba walikuwa na interest, Ila ndo ilishindikana.
 
Nimechelewa kwa anaejua kipindi kinarudiwa lini na saa ngapi atujulishe.

Mkuu mm mwenyew nimechelewa na sidhani kama watakirudia. Lakini kupitia youtube wanaweza kukitupia ila inachukuga muda hadi kuipeleka huko.
 
Hivi hawa ccm maslahi sijui hawayaonagi haya anayoongeaga JJ warioba maana hata mtoto wa kidagate anaelewa
 
Mbona at a hawakutangaza kuwa mzee atakuwapo ITV mambo gani haya twakosa mambo ya maana yenye ujazo Wa hekima na busara za kutosha
 
Jaji warioba anaongea vitu ambavyo vinaonekana kabisa huitaji kuambiwa kama muundo wa muungano na mgawanyo wa madaraka kati ya serikali na siasa za bunge
 
Makonda na ccm kwa ujumla wasikia hiyo sauti ya Warioba wanatetemeka mwili mzma kama yule mbunge wa monduli.
 
Back
Top Bottom