Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
"Tunaendelea kushikiliwa katika eneo la mahojiano la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam pamoja na @WMutunga na @Honeyfarsafi.
Tumeambiwa tu tusubiri afisa mwandamizi afike. Hatujapewa taarifa nyingine yoyote. Bado wanashikilia pasipoti zetu.
Huenda tukafukuzwa na kupandishwa kwenye ndege inayofuata kurejea nyumbani." - Husseni Khalid, Mmoja wa waliambatana na Jaji Mutunga
Soma pia
Tumeambiwa tu tusubiri afisa mwandamizi afike. Hatujapewa taarifa nyingine yoyote. Bado wanashikilia pasipoti zetu.
Huenda tukafukuzwa na kupandishwa kwenye ndege inayofuata kurejea nyumbani." - Husseni Khalid, Mmoja wa waliambatana na Jaji Mutunga
Soma pia
- Pre GE2025 - DSM - Kesi ya Lissu: Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga ashikiliwa uwanja wa Nyerere. Polisi waonekana Kisutu
- Pre GE2025 - Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar, Jaji Mkuu mwingine mstaafu David Maraga afanikiwa kupenya Kisutu
- Pre GE2025 - Wakenya (Martha Karua na wenzake) waliokuja Tanzania kushuhudia kesi ya Lissu warudishwa wakiwa uwanja wa ndege Dar