Jaji Mkuu Kushiriki Hukumu ya Lema

Jaji Mkuu Kushiriki Hukumu ya Lema

Litakuwa ni pigo jingine kwa serikali ikiwa jaji mkuu hatafuata sheria make hukumu ikitoka ndivyo sivyo nguvu ya umma itachukua mkondo wake. bug up bro.
 
Hii kesi JK kamtuma swahiba wake ambaye amempa ulaji wa ujaji mkuu. Hapa yanatengenezwa mazingira ya kuonekana kwamba haki imetendeka. Watamtimua Lema hatashinda. Yangu Macho.
 
Watanganyika tutapewa vitambulisho vya wageni kule znz jaji kesi ya Lema kuwa kama. Mtanzania au mzanzibari?
 
Huyu chizi alishafukuzwa na makopo yake sioni sababu ya kuendelea kumzungumzia.Hata baraza la kata linaweza kusikiliza rufani ya Lema.
hazikutoshi kabisa.Uyasemayo na unayozungumza mbele za umma tulitraji kuzipokea kutoka kwa mtu mwingine na si wewe
 
Back
Top Bottom