Jaji Mihayo: Rais Magufuli sio Dikteta

Jaji Mihayo: Rais Magufuli sio Dikteta

Kwan kiongozi kukaa madarakini kwa muda mrefu au umasiki wa wananchi wake ndo udikteta kwa maoni yako. Kwa hiyo na Nyerere naye alikuwa dikteta?
Jaji Mihayo, usiingize siasa mahakamani.

Kuna madikteta wengi tu Afrika. Nashangaa msomi kama wewe unashindwa kujua hilo.

Hawa ni baadhi ya madikteta Afrika:



1. Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo

Nchi : Equatorial Guinea

Madarakani: Tangu August 1979

Kampindua mjomba wake Francisco Macías Nguema.

Equatorial Guinea ina utajiri wa mafuta lakini pesa yote anaiba yeye na familia yake. Wananchi wanakufa na njaa.


2. José Eduardo dos Santos

Nchi: Angola

Madarakani: Tangu September 1979 alipokufa Rais Agostinho Neto.

Binamu yake ni makamu wa Rais.
Mtoto wake wa kike, Isabel, ni bilionea wa kwanza wa kike Afrika.

Angola Ina utajiri wa mafuta na almasi lakini wananchi wake wanakufa na njaa. Ukiishi zaidi ya miaka 41, unabahati.

Familia ya Rais Dos Dantos, inamiliki makampuni mingi katika uchumi wao mpaka kuweza mtoto wake Isabel kununua share katika mabenki na makampuni ya magazeti makubwa ya Ureno.


3. Rais Robert Mugabe

Nchi: Zimbabwe

Madarakani: Tangu 1980 (Waziri Mkuu, Rais wa Nchi 1987)

Asilimia 60 ya wananchi hawana kazi, wengi wanakimbilia Afrika Kusini kutafuta kazi.

Baada ya kutaifisha ardhi iliyokuwa inalimwa na raia wa kizungu wa Zimbabwe, uchumi ukashuka. Wakulima Wazawa wakashindwa kuitumia ardhi vizuri kutokana na sababu za kifedha na kielimu.

Sasa nchi inaomba msaada wa chakula nje na vyakula ni adimu madukani.

Pia, wapinzani wake wamebanwa koo na serikali yake.


4. Mfalme Mswati III

Nchi: Swaziland

Madarakani: Tangu 1986

Wananchi wake wanaishi miaka 46, wengi wanakufa na ukimwi na njaa. Asilimia 40 hawana kazi.

Mfalme ndiyo Mkuu wa Nchi. Hamna kura ya kuchagua kiongozi.

Mswati anatumia fedha za Nchi kama za kwake. Anajulikana zaidi duniani kama mpenzi wa magari ya BMW na huowa karibu kila miaka michache. Ana wake 14.


5. Rais Omar Al-Bashir

Nchi : Sudan

Madarakani: Tangu 1989 baada ya kumpindua Sadiq al- Mahdi.

Vita nchini vimeua watu milioni moja na maonevu dhidi ya raia wa Kiafrika wa Kusini mwa Sudan imesababisha Sudan kugawanyika mwaka 2011 na kuwa Sudan na Sudan ya Kusini baada ya raia hao kupigana vita na serikali ili wapate haki zao.

Wananchi wa Sudan hawana haki yoyote chini ya serikali yake ya chama kimoja, National Islamic Front. Wabunge wake wote 500 ni wa kuteuliwa.

Bado sijaongeza kina Museveni, Kagame na Nkurunziza.

Listi ni ndefu mno.
 
Jaji Mihayo, usiingize siasa mahakamani.

Kuna madikteta wengi tu Afrika. Nashangaa msomi kama wewe unashindwa kujua hilo.

Hawa ni baadhi ya madikteta Afrika:



1. Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo

Nchi : Equatorial Guinea

Madarakani: Tangu August 1979

Kampindua mjomba wake Francisco Macías Nguema.

Equatorial Guinea ina utajiri wa mafuta lakini pesa yote anaiba yeye na familia yake. Wananchi wanakufa na njaa.


2. José Eduardo dos Santos

Nchi: Angola

Madarakani: Tangu September 1979 alipokufa Rais Agostinho Neto.

Binamu yake ni makamu wa Rais.
Mtoto wake wa kike, Isabel, ni bilionea wa kwanza wa kike Afrika.

Angola Ina utajiri wa mafuta na almasi lakini wananchi wake wanakufa na njaa. Ukiishi zaidi ya miaka 41, unabahati.

Familia ya Rais Dos Dantos, inamiliki makampuni mingi katika uchumi wao mpaka kuweza mtoto wake Isabel kununua share katika mabenki na makampuni ya magazeti makubwa ya Ureno.


3. Rais Robert Mugabe

Nchi: Zimbabwe

Madarakani: Tangu 1980 (Waziri Mkuu, Rais wa Nchi 1987)

Asilimia 60 ya wananchi hawana kazi, wengi wanakimbilia Afrika Kusini kutafuta kazi.

Baada ya kutaifisha ardhi iliyokuwa inalimwa na raia wa kizungu wa Zimbabwe, uchumi ukashuka. Wakulima Wazawa wakashindwa kuitumia ardhi vizuri kutokana na sababu za kifedha na kielimu.

Sasa nchi inaomba msaada wa chakula nje na vyakula ni adimu madukani.

Pia, wapinzani wake wamebanwa koo na serikali yake.


4. Mfalme Mswati III

Nchi: Swaziland

Madarakani: Tangu 1986

Wananchi wake wanaishi miaka 46, wengi wanakufa na ukimwi na njaa. Asilimia 40 hawana kazi.

Mfalme ndiyo Mkuu wa Nchi. Hamna kura ya kuchagua kiongozi.

Mswati anatumia fedha za Nchi kama za kwake. Anajulikana zaidi duniani kama mpenzi wa magari ya BMW na huowa karibu kila miaka michache. Ana wake 14.


5. Rais Omar Al-Bashir

Nchi : Sudan

Madarakani: Tangu 1989 baada ya kumpindua Sadiq al- Mahdi.

Vita nchini vimeua watu milioni moja na maonevu dhidi ya raia wa Kiafrika wa Kusini mwa Sudan imesababisha Sudan kugawanyika mwaka 2011 na kuwa Sudan na Sudan ya Kusini baada ya raia hao kupigana vita na serikali ili wapate haki zao.

Wananchi wa Sudan hawana haki yoyote chini ya serikali yake ya chama kimoja, National Islamic Front. Wabunge wake wote 500 ni wa kuteuliwa.

Bado sijaongeza kina Museveni, Kagame na Nkurunziza.

Listi ni ndefu mno.

Kama maana ya usomi ndiyo hiyo basi bora asiyesoma!! umetokelezea ni orodha ndefu tena kwa uhakika mbele ya jamii forum na wasomi wenzako wenye vyeti vya kiuana halisi watajitokeza kukusaidia, pole sana
 
Kwan kiongozi kukaa madarakini kwa muda mrefu au umasiki wa wananchi wake ndo udikteta kwa maoni yako. Kwa hiyo na Nyerere naye alikuwa dikteta?

Mkuu, soma vizuri.

Nilishajibu kuwa kukaa Madarakani ni haki kama wananchi wapo radhi (waulizwe kwa njia ya kidemokrasia ya moja kwa moja ya kura ya maoni). Siyo kubadilisha ratiba kwa kuwa huna wapinzani bungeni.

Huna wapinzani kwa sababu umewabana koo wasishinde kura dhidi yako kwa namna yotote.

Swali lako la pili.

Je, Nyerere alikuwa Raisi Dikteta?
Jibu, ndiyo.

Labda kama unataka kubadilisha maana ya "Dikteta" kwa manufaa yako kama mchangiaji mwingine nyuma ili kumchuja Nyerere.

Kuwa na raia masikini haimpi haki kiongozi wao awaongoze Kidikteta . Haina mantiki.

Kama wanataka kuburuzwa, waburuzwe kidemokrasia kwa maombi ya kura ya maoni. Waombwe, ili kusiwe na haja ya kupiga kura tena.
 
Nakubaliana na Jaji Mihayo. Hata kama Magufuli angekuwa Dikteta, nadhani kwa Tanzania ya sasa angetufaa sana. Watu wamekuwa wazembe, wezi, wavivu na kila aina ya Upuuzi. Rais Magufuli kaza buti. Hakuna kurudi nyuma

Sasa ungeanzaje kumpinga JIPU mwenzio
 
Upinzani uchwara ndio umekomaloa Udikteta

Hivi udikteta mnaujua nyie
Waulizeni ujerumani na Adolf Hiltler
Wazungu hajasahau hadi leo alichowafanya

Hoja za kijinga hizi.
Mwenye malaria 1 na mwenye malaria 10 wote ni wagonjwa tu.
 
Kama maana ya usomi ndiyo hiyo basi bora asiyesoma!! umetokelezea ni orodha ndefu tena kwa uhakika mbele ya jamii forum na wasomi wenzako wenye vyeti vya kiuana halisi watajitokeza kukusaidia, pole sana

Siandiki hapa JF ili kumtafuta mchangiaji anisaidie kwa kitu chochote. Ni open forum, unaweza kuchangia au kupita.

Paulo Coelho alisema dunia inabadilishwa kwa mifano siyo kwa maoni yako.

Una mifano gani ya kubadilisha dunia?
 
Jaji Mihayo, usiingize siasa mahakamani.

Kuna madikteta wengi tu Afrika. Nashangaa msomi kama wewe unashindwa kujua hilo.

Hawa ni baadhi ya madikteta Afrika:



1. Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo

Nchi : Equatorial Guinea

Madarakani: Tangu August 1979

Kampindua mjomba wake Francisco Macías Nguema.

Equatorial Guinea ina utajiri wa mafuta lakini pesa yote anaiba yeye na familia yake. Wananchi wanakufa na njaa.


2. José Eduardo dos Santos

Nchi: Angola

Madarakani: Tangu September 1979 alipokufa Rais Agostinho Neto.

Binamu yake ni makamu wa Rais.
Mtoto wake wa kike, Isabel, ni bilionea wa kwanza wa kike Afrika.

Angola Ina utajiri wa mafuta na almasi lakini wananchi wake wanakufa na njaa. Ukiishi zaidi ya miaka 41, unabahati.

Familia ya Rais Dos Dantos, inamiliki makampuni mingi katika uchumi wao mpaka kuweza mtoto wake Isabel kununua share katika mabenki na makampuni ya magazeti makubwa ya Ureno.


3. Rais Robert Mugabe

Nchi: Zimbabwe

Madarakani: Tangu 1980 (Waziri Mkuu, Rais wa Nchi 1987)

Asilimia 60 ya wananchi hawana kazi, wengi wanakimbilia Afrika Kusini kutafuta kazi.

Baada ya kutaifisha ardhi iliyokuwa inalimwa na raia wa kizungu wa Zimbabwe, uchumi ukashuka. Wakulima Wazawa wakashindwa kuitumia ardhi vizuri kutokana na sababu za kifedha na kielimu.

Sasa nchi inaomba msaada wa chakula nje na vyakula ni adimu madukani.

Pia, wapinzani wake wamebanwa koo na serikali yake.


4. Mfalme Mswati III

Nchi: Swaziland

Madarakani: Tangu 1986

Wananchi wake wanaishi miaka 46, wengi wanakufa na ukimwi na njaa. Asilimia 40 hawana kazi.

Mfalme ndiyo Mkuu wa Nchi. Hamna kura ya kuchagua kiongozi.

Mswati anatumia fedha za Nchi kama za kwake. Anajulikana zaidi duniani kama mpenzi wa magari ya BMW na huowa karibu kila miaka michache. Ana wake 14.


5. Rais Omar Al-Bashir

Nchi : Sudan

Madarakani: Tangu 1989 baada ya kumpindua Sadiq al- Mahdi.

Vita nchini vimeua watu milioni moja na maonevu dhidi ya raia wa Kiafrika wa Kusini mwa Sudan imesababisha Sudan kugawanyika mwaka 2011 na kuwa Sudan na Sudan ya Kusini baada ya raia hao kupigana vita na serikali ili wapate haki zao.

Wananchi wa Sudan hawana haki yoyote chini ya serikali yake ya chama kimoja, National Islamic Front. Wabunge wake wote 500 ni wa kuteuliwa.

Bado sijaongeza kina Museveni, Kagame na Nkurunziza.

Listi ni ndefu mno.

Wewe ndio unafanya siasa tena za maji taka. Jaji mihayo amesema AFrika mashariki sasa wewe unaleta story ya AFrika!!! Mbona hata mtu asiyekwenda shule anamwelewa tu huyu jaji. Nachukia sana ninapoona mtu anaandika utumbo wake humu.
 
huyu sio jaji ni mwanasiasa: bure kabisa; yaani huwezi amini jaji wa uzoefu wake anaongea pumba namna hii; yaani miaka yote ya kua katika mahakama anashindwa kuelewa principle ya separation of powers, natural justice; na presumption of innocence; leo nimeamini umri sio busara.
 
Mojawapo ya Majaji Watuhumiwa kwa Kushindwa kuandika Hukumu za Kesi katika Kipindi Cha Ujaji wao ni Jaji Thomas Mihayo, Toka Majaji hao Watuhumiwe na Tundu Lisu hawajawahi kukana tuhuma zao
Kwa hiyo Jaji Mihayo hana jipya la kutuambia mana Ujaji wake haukuwa na Tija mana hajawahi andika hukumu yoyote.
 
Wewe ndio unafanya siasa tena za maji taka. Jaji mihayo amesema AFrika mashariki sasa wewe unaleta story ya AFrika!!! Mbona hata mtu asiyekwenda shule anamwelewa tu huyu jaji. Nachukia sana ninapoona mtu anaandika utumbo wake humu.

Chukia mpaka unywe sumu ya panya.

Jibu swali: Afrika Mashariki hamna Madikteta?

Nkurunziza? Kagame?

Kama hujui, hujui tu.
 
Chukia mpaka unywe sumu ya panya.

Jibu swali: Afrika Mashariki hamna Madikteta?

Nkurunziza? Kagame?

Kama hujui, hujui tu.


Unaendelea kujitoa ufahamu bure tu. Ili uende kitaalamu zaidi eleza mambo ambayo mtu akifanya ataitwa dikteta. Nielekeze hapo tu ili nijue sijui.
 
Hoja za kijinga hizi.
Mwenye malaria 1 na mwenye malaria 10 wote ni wagonjwa tu.

Oxford dictionary :

Dictatorship : Noun
A form of government in which the ruler is an absolute dictator (not restricted by a constitution, laws or opposition etc.)

Tafsiri yake :
aina ya serikali ambayo kiongozi ni dikteta kabisa (si vikwazo na katiba, sheria au upinzani nk)

Hebu uelezee udikteta ni nini kwa mtazamo wako

Halafu uelezee udikteta wa JPM
 
Oxford dictionary :

Dictatorship : Noun
A form of government in which the ruler is an absolute dictator (not restricted by a constitution, laws or opposition etc.)

Tafsiri yake :
aina ya serikali ambayo kiongozi ni dikteta kabisa (si vikwazo na katiba, sheria au upinzani nk)

Hebu uelezee udikteta ni nini kwa mtazamo wako

Halafu uelezee udikteta wa JPM

Shukuran Mkuu.

Watu wengine wanaenda shule lakini hawaelimiki.

Labda wataelewa maana ya Dikteta kwa lugha ya Kiswahili.

Dr. Magufuli amepewa kura na wananchi kuwaongoza. Hana harufu ya Udikteta mpaka sasa.

Lakini majirani wa Tanzania, huko Burundi na Rwanda, kuna Madikteta.

Jaji kusema kuwa hamna Udikteta Afrika Mashariki ni kujivunjia heshima yake mbele ya umma na elimu yake inatia shaka.
 
Unaendelea kujitoa ufahamu bure tu. Ili uende kitaalamu zaidi eleza mambo ambayo mtu akifanya ataitwa dikteta. Nielekeze hapo tu ili nijue sijui.

Soma vizuri. Kila kitu kimeshaelezwa katika mabango huko juu.

Maana ya Dikteta na nini kinamfanya kiongozi aitwe Dikteta na mifano ya viongozi wa Kidikteta Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.

Kama huelewi, hiyo ni shida yako.
 
Hawa vijana wa ufipa wa brain problem
 
Back
Top Bottom