Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Sheria ya sasa inasema matokeo ya Urais ili yawe rasmi ni lazima yatangazwe na Tume ya TAifa ya Uchaguzi; na kuwa wana uwezo wa kuzuia matokeo hayo kutangazwa majimboni kama walivyofanya mwaka jana. Sasa Lubuva afanye nini?
Sheria ya sasa hairuhusu kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais baada ya mtu kutangazwa kuwa kashinda; sasa Lubuva afanye nini?
Mkitaka Lubuva afanye tofauti au apunguziwe nguvu haitoshi kumwangalia yeye; ni kuangalia Bungeni huko. Kwani Bunge laweza kubadilisha sheria kabla ya kubadili hata Katiba.
Sheria ya sasa hairuhusu kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais baada ya mtu kutangazwa kuwa kashinda; sasa Lubuva afanye nini?
Mkitaka Lubuva afanye tofauti au apunguziwe nguvu haitoshi kumwangalia yeye; ni kuangalia Bungeni huko. Kwani Bunge laweza kubadilisha sheria kabla ya kubadili hata Katiba.