swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Kwa jinsi ninavyoona NEC wanavyoweka mambo wazi na kufanya kazi kwa uwazi naona kuwa mh.Lubuva ataandika historia mpya ya Tanzania kwa kumtaja na kumtangaza rais kutoka upinzani.
Kitendo cha kusema na kuelekeza kuwa matokeo ya kura ya wagombea wote Rais, Mbunge na diwani katika vituo vya kupigia kura ni jambo ambalo huenda likapunguza uchakachuaji maana siku za nyuma masanduku ya kura upande wa Rais zilikuwa zinahesabiwa kwa mkurugenzi na magari yaliyokuwa yakibeba masanduku hayabebi mawakala wa chama chochote.
Kwa hili Lubuva hongera japo umeletewa vishoka ofisini kwako.
Kitendo cha kusema na kuelekeza kuwa matokeo ya kura ya wagombea wote Rais, Mbunge na diwani katika vituo vya kupigia kura ni jambo ambalo huenda likapunguza uchakachuaji maana siku za nyuma masanduku ya kura upande wa Rais zilikuwa zinahesabiwa kwa mkurugenzi na magari yaliyokuwa yakibeba masanduku hayabebi mawakala wa chama chochote.
Kwa hili Lubuva hongera japo umeletewa vishoka ofisini kwako.