Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,372
- 37,908
Heshima sana wanajamvi.
Baada ya kuboronga katika hukumu zake kiasi hata mimi fundimchundo nilifahamu na kuelewa kwamba huyu Mwanga Mzanzibar uchwara hana sifa za ujaji.
Kwakuwa mamlaka ya uteuzi wake haitaki kimwondosha.
Kwakuwa kainajisi Mahakama Kuu Tanganyika.Je hakuna sheria au kanuni ambazo tunaweza kuzitumia kumfutusha Mwanga au kumrejesha kwao Zanzibar !.
Ikiwa hakuna sheria hiyo basi Katiba mpya isisahau kuweka kipengele cha kuwatimua majaji uchwara kama Mwanga.
Baada ya kuboronga katika hukumu zake kiasi hata mimi fundimchundo nilifahamu na kuelewa kwamba huyu Mwanga Mzanzibar uchwara hana sifa za ujaji.
Kwakuwa mamlaka ya uteuzi wake haitaki kimwondosha.
Kwakuwa kainajisi Mahakama Kuu Tanganyika.Je hakuna sheria au kanuni ambazo tunaweza kuzitumia kumfutusha Mwanga au kumrejesha kwao Zanzibar !.
Ikiwa hakuna sheria hiyo basi Katiba mpya isisahau kuweka kipengele cha kuwatimua majaji uchwara kama Mwanga.