Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
give us a break.... kwanini unaangalia dini?
Hana pointi, anasukumwa na maslahi ya upambe na ushabiki kwa watu anaowaunga mkono.
Vv
give us a break.... kwanini unaangalia dini?
Na wanataka alete ushoga tanzania. Wameshaweza nchi za SA. Na mozambique huko ushoga umeshalalalishwa kennya nao watahalalisha obama akiondoka ..
Ushoga wanavuleta kama missionary walivyoleta dini. Walipata vipingamizi ila mwishowe mababu zetu wakakaa wenyewe
wewe timu lowasa ,nadhani amebaki asha ndo hamjamchafua ,
Watu wasipotoshe wengine. Naona hajui kuhusu kanisa Anglican. Anglican wana mfumo unaojitegemea ila wanashea vitabu vya mafundisho na lituljia. Wana vyuo vyao, taasisi zao na wana utaratibu wao wa kupata viongozi.Kwa nini unathubutu kuandika upuuzi? Kama hujui kitu, kukaa kimya ni hekima kubwa.
Askofu Mkuu wa Uingereza hana mamlaka ya kuiteulia nchi nyingine Askofu, siuze Mchungaji! Askofu mkuu wa Uingereza wala hachaguliwi na Maaskofu wa Anglikana duniani ktk kusanyiko lao.
Utendaji wa Askofu ktk Anglikana ni tofauti sana na Katoliki ambapo Mamlaka ya Papa hufika hadi nchi na jimbo la nchi nyingine ndani ya Kanisa hilo.
Vv
Kiukweli, Mheshimiwa huyu, hana doa, wala mawaa,
Amefurika hikma, na busara sana ( kulingana na kauli zilizotolewa na watu walofanya kazi naye)
labda pengine tu ule UPOLE wake, ndo issue.
Maana nchi hii inahitaji kwa nguvu zote, apatikane DIKTETA