JamiiCheck
JF-Expert Member
- Nov 3, 2023
- 213
- 226
Ujumbe wa Jaji Asina Omari, Mjumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), alioutoa wakati akizungumza na wawakilishi wa vijana, kwenye ukumbi wa mikutano Mlimani City Dar es Salaam, unasisitiza kuepuka utumiaji wa Akili Unde kutengeneza taarifa potofu ili kuzuia upotoshaji wakati wa uchaguzi.
Kuzuia Taarifa Potoshi ni mchango muhimu kuelekea uchaguzi mkuu kwani Maamuzi sahihi hutokana na Taarifa Sahihi.
Kuzuia Taarifa Potoshi ni mchango muhimu kuelekea uchaguzi mkuu kwani Maamuzi sahihi hutokana na Taarifa Sahihi.