Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

lubu-kato

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
492
Reaction score
101
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!
 
LOL! Huyu, Mwandosya na Mahiga waliombwa wagombee, hivyo kuwapa matumaini kwamba wanaweza kupitishwa na hatimaye wote kuamua kuchukua form na kutangaza nia, lakini cha kustaajabisha hata katika tano bora hata mmoja hakuwemo.
 
Kwa taarifa yenu huyo ndo waziri mkuu wa serikali ijayo amini nakwambia
 
Wale watu walioletwa na Lowassa Dodoma,wataweza kumfuata Ili awape nauli za kuwaludisha makwao?,daah wengi itakula kwao..
 
Demokrasia imechukua nafasi yake tulia kijana wa bavicha.
 
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!

Wazee wa suti nyeusi ndio walimdanganya,sasa amejishushia hadhi yake bure!
 
Kwa taarifa yenu huyo ndo waziri mkuu wa serikali ijayo amini nakwambia

Mkuu kwani baada ya hapo si unafuata uchaguzi mkuu sasa unaposema huyu ndo waziri mkuu mbona hueleweki ebu fafanua tafadhali
 
Watanzania bhana. . . . . . Yaani mnachangia as if mnajua kwa uhakika "motive behind" yeye kuingia mule
 
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!

Hajarudi tu Zanzibar kupiga kinanda:what:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom