Jaja apiga shuti moja tu dakika 82

Jaja apiga shuti moja tu dakika 82

Jaja akianza game na stand united naomba nipigwe ban.
 
Wewe acha roho mbaya.Jaja alishatupia 2 dhidi ya Azam,katupa raha sana yule hata asipofunga msim mzima kashalipa deni.Upo hapo? Tuacheni yanga yetu.
 
Tukubali au tukatae Kiiza ni bora kuliko Jaja na Msuva ni bora kuliko Countinho katika nafasi anayopangagwa.

hatuhitaji vijiushauri vyenu kila mchezaji ana umuhimu wake kwenye nafasi yake nyinyi mpira hamjui nawaombeni zishauri timu nyingine sio yanga au simba
 
mimi nawakubali watu wakikosoa mchezaji nao wasikiliza ni kibadeni mwaisabula aly mayai na yupo mmoja mzee hivi alikuwa tbc wakati wa word cup hao wakielezea mpira ni afadhari wanauju mpira sio vikaragosi wengine
 
mimi nawakubali watu wakikosoa mchezaji nao wasikiliza ni kibadeni mwaisabula aly mayai na yupo mmoja mzee hivi alikuwa tbc wakati wa word cup hao wakielezea mpira ni afadhari wanauju mpira sio vikaragosi wengine
kwahiyo unataka kunambia kua na humu vikaragosi wamo..?
 
Nyie hamjui jaja sio mchezaji ninawasiwasi anaundugu na maximo ndo maana kamleta. Inshu kwamba.... tz watu hawajielewi twende mjomba tukawachukulie hela zao....
 
Back
Top Bottom