Rais wetu kioja, Waziri Mkuu kioja, Jaji Werema kioja, wakalia kiti cha spika vioja, wabunge wa CCM vioja , RA, EL na AC vioja ukimaliza na kioja kuliko woote - TAKUKURU. PS wa wizara kaandika barua kwenye idara zake akizitaka zichangie pesa ya kupitisha bajeti ya wizara yake hachukuliwi hatua!!
Nchi ya vituko hii....