<br />Sakata la huyu swahiba wake JK Bw. Jairo wa wizara ya nishati limeishia wapi? Manake naona kimyaaa ama ndio imetoka tena hiyo.
<br />dah! unatumliza nguvu sio siri!
Haaa haaa wadau wana hasira na nchi yao ukiona wanakasirika hivi...usipende kuturusha roho na taito zako halafu haziendani na unachoandika mkuu..Watu wengine hovyoo...umenyimwa cha asubuhii nn ukaona utoe stress jamvini kwa kuleta title iliyo tofauti na nyama zake
Ukiona kimya ujue ndiyo imetoka hiyo. Tatizo ni kwamba huo utaratibu ndiyo unatumika kwa wizara zote hivyo kumwajibisha yeye ni kumuonea tu mtoto wa watu, serikali yetu ni ya kifisadi kuanzia juu mpaka chini.Tukitaka haki itendeke tuiondoe CCM madarakani kwani ndiyo muasisi wa ufisadi na siasa za kulindana.
it seems you haven't read and understood the heading. look, there is question mark here.Very misleading title. One gets an impression that the case has been concluded and that the guy has no case to answer.