Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
Sio wa mwanzo kufanya makosa na sio pia tanzania mpya.
Dk Hosea alisakamwa ndani ya bunge hadi kwa vyombo vya haabari na kushindikizwa kujiuzulu. lkn bado anadunda ndani ya ofisi ya umma.Tunamuacha astaafu kwa heshima.
mwanasheria mkuu wa sereakali aliestaafu kwa heshima.aliependekezwa aaachishwe kazi lkn amestaafu kwa heshima
mkuu wa polisi Omar mahita juu ya tuhuma mbali mbali amestaafu kwa heshima.
tumwacheni nae JAIRO astaafu kwa heshima kama tulivyozoea kwa viongozi wengine waliostaafu kwa heshima kwa makosa waliofanya.
kumshindikiza jairo aadhibiwe hatumtendei haki
Update:
Habari ambazo nazipata hapa katika ofisi za Mjengo ni kuwa Anawajibika kwa Rais. Hold on huenda PM akatoa tamko muda si mrefu. Ila kashawasilisha barua ya kujiuzuru. Tunatafuta maarifa ya kujua content.
SOURCE NI GHOST RYDER No More question Wakuu, Acheni tufanye kazi
kijiuzulu hakutoshi ashtakiwe ndo cha msingiHabari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo
More to follow
Source plz
Amesema ni kwa nini anajiuzulu? Yawezekana ni bangusilo na 'wakuu' wanataka kufunika kombe! Hii habari ya kulobby (kuhonga!) ili bajeti zipite imeanza kusikika muda mrefu tu.
Source mkuu
Hii ina tofauti na hii hoax ya jana? Deleted: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/156406-jairo-kajiuzulu.htmlHabari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huoMore to follow