Wolper kashazeeka mamaye hana mpya menina ndo habare ya mujini
Mtoto mashallah...huko nyuma kajiny.eaa....
Diamond awe makini na Wema, yule kashakuwa concord, ukute anataka ndoa ya kuringishia kama Lucy Komba....
Ndoa sio sherehe ya harusi ya siku moja....
Kama Diamond unasoma hapa hebu jifunze kwa Mrisho Ngassa....mke yuko mahakamani anataka wagawane pasu kwa pasuu....
Sasa we jishaue kumuoa huyo mpenda show off siku mbili akudai talaka mgawane......mjini hakuna kuoneana hurumaa....!
Bora hata umuoe Didaaaa.....
Ndio nashangaa umeweka liuzi la wolper la nini sasa Zamda Geuka njoo uone warumi nae hajisikii kuongelea wolper Menina habare nyingine dadaadeki hutaki kafie Nyakahoja
AKafie nyamanoro uko
Ndio nashangaa umeweka liuzi la wolper la nini sasa Zamda Geuka njoo uone warumi nae hajisikii kuongelea wolper Menina habare nyingine dadaadeki hutaki kafie Nyakahoja
Unazimika na swagaaaa eee zinakupa rahaaaaa pamoko sanaaaa
Hamia kabisa hili jukwaa huku umbea,udaku basiiii mengjne acha nyumbani au siyo warumii
Ngoja niendelee kupata burudani, bt palipo na qn ntauliza, maan nyie mmh may be niwaite #teamgoogle
Na lulu kidogo wengine wakajambe itabaghanyaaaa
Huyu jamaa nae namuelewa sana, aisee sas naona. Dsm yote mnaijua in n out, by the way nikulize swali la kizushi?
Ulizaa ila lisichafue hali ya hewa tu hapaa
Mmh..usije nichamba. NGOJA nikae nalo moyoni tu
Hhhhhaaaaaa umenichekeshaaa mi hua sichambi watu banaa tena sasa hiv nimeokoka,basi niulizie kule pm ukikaa nalo litakuganda kama kina fulanii
Mmh! So hapo ndo umeokoka? Nawish ningekufaham before hujaokoka,,,😛
Ndio nashangaa umeweka liuzi la wolper la nini sasa Zamda Geuka njoo uone warumi nae hajisikii kuongelea wolper Menina habare nyingine dadaadeki hutaki kafie Nyakahoja
We ngosha nyakahoja kunani tena
Ok
Nasikitika kuwa mwenyewe hajaja kuweka mambo sawa humu but i will continue this discussion na Mwanasiasa who seem to be more intouch with Chadema and so on lakini jibu langu litamsubiri atakayoyasema
Nyakahoja ipi mana mimi najua shule y nyakahoja hamna pimbi hpo mana nimeskul hpo,ila pimbi wko milimani
Maeneo hayooo weee
Hamna pimbi hpo labda huo mlima w kwa mkuu w mkoa