J.K. Kikwete - Overstaying your usefulness!

Ki
Yana mwisho afanyao, tena mwisho wake na kizazi chake na wahuni wenzake kitakuwa kibaya sana sana..
Kila mwenye mali mingi huwa ana hofu na mali zake namna ya kuziweka salama πŸ˜…πŸ€·πŸΏβ€β™‚οΈ !
 
Mkuu usichanganye mafaili.
Kweli uhai wa mtu ni mapenzi yake Mungu.

Kama livyobarikiwa mzee wetu Ali Hassan Mwinyi, uhai huwa ni baraka, baraka isiyoweza kuondoshwa na mtu yeyote hadi Mola mwenyewe apende.

Lakini kucheza namba 10 ya kisiasa, kwa miaka mingi tu, hilo ni swala jingine kabisa na mtu asijidai haeliwi hilo.
 
Kila mwenye mali nyingi huwa anahofia security ya mali zake !😳

And the guilty are always afraid 😱 !

Karma is for real 😧 !
Ngoja Tusubiri tuone πŸ™ŒπŸ€·πŸΏβ€β™‚οΈ
Maombi ya walio dhalilishwa yanaendelea πŸ™ŒπŸ€·πŸΏβ€β™‚οΈ !
 
Tunajadili usalama wa taifa wewe unajadili mapenzi ya dhati uliyonayo kwa kikwete sijui kama nani kwako sasa?

Sisi kama wanainchi tunaona uwepo wake unaleta shida katika maendeleo na masilahi ya inchi kwa upana.

Issue ingekuwa ni udini basi viongozi wote waislam walipo serikalini wangekuwa wanapigwa vita ila mbona wapo ambao wanapendwa sana na hata wakiondoka watu wanataka wabakie. Mwinyi kwa mfano mbona alipendwa sana? Ulishawahi kusikia mwinyi anatukanwa na kuchukiwa?

Nadhani unatakiwa kujua unajadili jambo gani na kwa nani.
 
Uchawa ni ugonjwa mbaya sana
 
Unataka kuniambia mimi au wewe tuna uchungu na taifa hili kuliko JK aliyekuwa rais wa TZ kwa awamu mbili?.

Kuwa mstaafu Kikwete hakutuondelei matatizo mengi ya kila siku ya kwenye maisha yetu. Mungu ndio amepanga iwe hivyo, kwamba 2025 august Kikwete awe hai na Samia awe ikulu.

Hasira za kitoto za kumshambulia JK kana kwamba yeye ndiye chanzo cha taabu tunazokutana nazo hazitusaidii kwa namna yoyote ile.
 
JK anatupiwa mzigo wa lawama na sisi wengi wetu ambao hatujui chochote kwenye masuala ya kisiasa.

Ni baraka kwa taifa kuwa na rais mstaafu mwenye uhusiano mwema na rais aliyepo madarakani.

Chiluba alimfunga Kenneth Kaunda baada tu ya kuingia ikulu, marais wastaafu wengi wanakutana na cha moto baada ya kuondoka ikulu.

Tanzania tunayo amani, JK akiwa mstaafu hana mikwaruzano na Samia kama ambavyo Mkapa hakuwa na mikwaruzano na JK.

Huwezi kukwepa uwepo wa mstaafu, ni mipango ya Mungu mambo yawe kama yalivyo hivi sasa.
 
Mkuu usimwingize Mungu katika siasa unaxozielewa wewe.
Itoshe kusema huna hoja.
 
Habari yako bila ushahidi ni chuki dhidi ya kikwete
 
Hivi vitu vinakuja automatically.

Unazani Mwinyi angekuwa na nguvu na ushawishi kuliko Nyerere, unadhani Nyerere Angesikika kipindi cha Utawala wa Mwinyi.
 
Mkuu amani au utulivu??
 
Pia nyinyi mnaolalamikia kitu msichokuwa na uhakika nacho hamna hoja pia. Unapotuhumu bila kuwa na ushahidi wa asilimia mia moja, huna hoja pia.
Mkuu wananchi wanaposema mzee wetu Kikwete apumzike siasa, si kwamba wanataka kumkamata na na kifurushi au kiroba cha mbuzi.
Ila as circumstances go by, JK ni rafiki wa Rostam, kama ilivyo kwa Harbinder Singh wa Escrow.
Urafiki wa mashaka.
Mke wa JK, mbunge, majuzi kakunja minoti lukuki
Mtoto wa JK mbunge na waziri naye kakunja kifurushi cha haja.
Familia inaweza kula na kuishi five life times bila kufilisika, asante kodi zetu.
Mtu si lazima aibe, ila noti zinamtembelea huko aliko, tena zinapiga foleni.
Sasa nani asiyetaka kutembelewa na noti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…