Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Nitumie Fursa hii tena Kumpongeza Mbunge wetu wa Ubungo na Mbunge wa Wa Tanzania woote kwa Ujumla, John Mnyika.
Kazi yako Bungeni kwenye Kikao kilichopita outcomes zake ndo zinaonekana kwa Sasa.Haihitaji kuwa na Degree kuliona hilo.
Mosi, Tumeona jinsi Waziri wa Maji Prof Maghembe alivyoanza Kuhaha haha baaada ya Hoja yako Iliyokatiliwa na Naibu Speaker (Ambaye bado tunaendelea kumshinikiza ajiuzulu).
Alianza kwenda kwao kupokelewa eti Kishujaa, mara akaibukia Goba kuongea na Wananchi jinsi suala la Maji linavyoshughulikiwa.
Mara Kaibuka na Wafanyakazi wa DAWASA na DAWASCO kana kwamba wao ndo Mzizi wa tatizo la Maji Ubungo na Dar Es Salaam kwa Ujumla.
Pili tumeona jinsi gani Nape alivyotumwa na CCM kuanzisha Propaganda Dhaifu juu ya Elimu Yako John Mnyika.
Hakuwa Peke yake bali pia alikuwa na Makapi yetu tuliyatupia Jalalani, namaanisha Juliana Shonza na Mtela Mwampamba.
Kama kawaida yetu wapiga kura wako tuko Nyuma yako na tumezipuuzia Propaganda zao na kuzidi Kuwadharau na wao kuzidi kujidhalilisha na Kujivua Nguo Mbele ya Jamii.
Kali ya Mwaka ni ya Mwenyekiti wao Jana, kaishia tu kusema "Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know, Ubungo kuna Shida ya Maji"
Na kama haitoshi Kuna tetesi kuwa anataka kuja Kutembelea Ubungo (Anataka kungea na Wapiga Kura wako john Myika)
Kwa watu weredi tumemuelewa kuwa Kile Kimbunga cha Hoja yako Kimemtetemesha na yeye.
Sasa ukiona hadi "Kubwa la Maadui lao" Limeanza kuweweseka je vp kwa Maadui wadogo wadogo,e.g akina Mwigulu Nchemba, @Nnauye Jnr etc etc.
John Mnyika, Keep up the Good Move, Keep up the Spirit, Keep up the Pace, Keep on Sandwitching Them.
KEEP ON HITTING THEM UP
Kazi yako Bungeni kwenye Kikao kilichopita outcomes zake ndo zinaonekana kwa Sasa.Haihitaji kuwa na Degree kuliona hilo.
Mosi, Tumeona jinsi Waziri wa Maji Prof Maghembe alivyoanza Kuhaha haha baaada ya Hoja yako Iliyokatiliwa na Naibu Speaker (Ambaye bado tunaendelea kumshinikiza ajiuzulu).
Alianza kwenda kwao kupokelewa eti Kishujaa, mara akaibukia Goba kuongea na Wananchi jinsi suala la Maji linavyoshughulikiwa.
Mara Kaibuka na Wafanyakazi wa DAWASA na DAWASCO kana kwamba wao ndo Mzizi wa tatizo la Maji Ubungo na Dar Es Salaam kwa Ujumla.
Pili tumeona jinsi gani Nape alivyotumwa na CCM kuanzisha Propaganda Dhaifu juu ya Elimu Yako John Mnyika.
Hakuwa Peke yake bali pia alikuwa na Makapi yetu tuliyatupia Jalalani, namaanisha Juliana Shonza na Mtela Mwampamba.
Kama kawaida yetu wapiga kura wako tuko Nyuma yako na tumezipuuzia Propaganda zao na kuzidi Kuwadharau na wao kuzidi kujidhalilisha na Kujivua Nguo Mbele ya Jamii.
Kali ya Mwaka ni ya Mwenyekiti wao Jana, kaishia tu kusema "Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know,Who doesn't Know, Ubungo kuna Shida ya Maji"
Na kama haitoshi Kuna tetesi kuwa anataka kuja Kutembelea Ubungo (Anataka kungea na Wapiga Kura wako john Myika)
Kwa watu weredi tumemuelewa kuwa Kile Kimbunga cha Hoja yako Kimemtetemesha na yeye.
Sasa ukiona hadi "Kubwa la Maadui lao" Limeanza kuweweseka je vp kwa Maadui wadogo wadogo,e.g akina Mwigulu Nchemba, @Nnauye Jnr etc etc.
John Mnyika, Keep up the Good Move, Keep up the Spirit, Keep up the Pace, Keep on Sandwitching Them.
KEEP ON HITTING THEM UP