kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,339
- 6,494
Nilivyomuelewa mleta mada anahisi huyu ni Alien katika umbo la binadamu, kutokana na uwezo wake wa kiakili. Sio kwamba anasura mbaya.Nayeye ukimtumia picha yako atajiuliza "uyu cheusi mangala,black mamba" ni mtu kweli au gunia la mkaa??