Kwani huyo victor wanyama ni nani hapa tz, na kwanini huo mtaa wauite hivyo au ni mtu maarufu kwa kuchoma au kukaanga nyama au mishikaki ndio maana ukaitwa mtaa wa victor wa nyama nini?huo ni mtaa wa victor wanyama kaka, hupo ubungo viwandani.
Ni bora watu wawe wanapimwa afya ya akili kabla ya kukabidhiwa nyadhifa kubwa ktk jamii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hapo ni Chato, kuna mataa alafu gsri linapita baada ya masaa 12

trafic light zinaongoza punda. Only chatle