ITV yasalimu amri

ITV yasalimu amri

Yaani ata mimi nimeshangaa kwa kutoonyesha kabisa lowasa na wakaonyesha magufuli. Itabidi sasa kutumia magazeti yenye mwelekeo bora na azam tv.
 
Subutu!!! wanaogopa kukiuka masharti ya CCM wasije wakafungiwa kurusha matangazo yake bureeeee!!! Chezea chama tawala weww???
 
ITV ata hawo watangazaji wake hawana elimu hawajuwi ata kusoma taarifa ni shirika bovu kabisa la utangazaji., Nimeacha kuangalia ITV kitambo

Mara hii mnawatukana kwa mema yote waliyowatendea?
 
Kaa na kichinjio chako sijui unataka kwenda kumchinja nani. Sisi tunatunza kadi zetu za kura trh 25 tunakwenda kupiga kura na kumkataa fisadi, ili asiingie ikulu.

Exactly mkuu umenena.
 
Hata wale wana chama 704 walioikacha Ccm? Duu
 
lsh!..badala ya kurudi nyuma na kufikiria kuwa mliwawazia vbaya itvz ndio kwaaanza mnazidi kujidumbukiza ujingani. kile ni chombo cha hbr. kinatoa habari zilizopo.. bila upendeleo. mjinga ni yule aliyedhani kuwa itv inapendelea. yani badala ya kufuatilia homework za watoto wenu, mnakaa kubinya korodani ili hbr ya ukawa isitangazwe itv. ths is pfyuuu...
 
ITV ata hawo watangazaji wake hawana elimu hawajuwi ata kusoma taarifa ni shirika bovu kabisa la utangazaji., Nimeacha kuangalia ITV kitambo

Mkuu angalia TBC1 na sikiliza TBC Taifa UKWELI NA UHAKIKA, bila kusahau Radio&Gazeti Uhuru vyombo vya utangazaji vingine vinapotosha!
 
Fungua Tv yako umtangaze Lowassa, kwani kuna tatizo??Nguo ya kuazima....
 
Wasameheni, siyo kawaida yao na ni kipindi kimoja tu.

Kumbuka, Kuna wabaya wa UKAWA wanao weza kutumia (pengine wameanza) uzi huu kuwaudhi / kuchafua ITV / IPP media .
 
Mkuu angalia TBC1 na sikiliza TBC Taifa UKWELI NA UHAKIKA, bila kusahau Radio&Gazeti Uhuru vyombo vya utangazaji vingine vinapotosha!
Tbc baada ya kususwa na wananchi wameamua kutangaza mambo ya hitma na chereko !
 
kaa na kichinjio chako sijui unataka kwenda kumchinja nani. Sisi tunatunza kadi zetu za kura trh 25 tunakwenda kupiga kura na kumkataa fisadi, ili asiingie ikulu.

we una kideri cha kuku nani ambae sio fisadi pale ccm kuanzia rais mpaka mjumbe wa nyumba 10 unajumlisha ww na ndg zako, dawa yenu october hamchomoki mwaka huu hakuna mwananchi mwenye akili anaetaka kuskia neno ccm, nyambafu
 
Achana nao sisi tutatumia smartphone tu, na kuwaoneaha hata bila wao tunaweza kupeana taarifa.
 
Back
Top Bottom