gideonbooty
Member
- Aug 17, 2015
- 11
- 3
Katika hali isiyokua ya kawaida Leo kituo bora cha ITV kimeshindwa kuripoti habari yoyote kuhusu ukawa huku ikitoa habari za chama cha mapinduzi peke yake,Leo kulikua na matukio mengi makubwa ikiwapo edwadi lowasa kula kiapo mahakama kuu lkn hawajaripoti wakashia kuripori za makofuli...