Mengi ni gamba loong time ago!Wakuu mimi nilidhani mawazo yangu yamenielekeza huko kumbe watu wengine wameliona hilo?kweli wakuu hata mimi niliona wamjaribu kuficha ili watu wengi wasione jinsi maoni ya watu wanavyoliona jeshi la polisi,pamoja na yote ukweli utabaki pale pale kwamba POLICCM wanaonea sana siku hizi kwa kufuata maagizo ya CCM.hawa ITV nao wameshakuwa kambi moja na magamba
Televission ya ITV imeshindwa kutoa majibu ya kipimajoto cha jana juu ya udhaifu wa jeshi la polisi, inaonekana wamechimbwa biti na policcm!