MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
ITV wamekiri kuwa wameshindwa kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu wa igunga kutokana na kuisha kwa ,muda waliopewa kurusha matangazo. mimi wacwac wangu ni hii tume ya ucjaguzi, iweje jimbo moja liwachukuwe mda mrefu hivi kutoa matokeo? kunatatizo hapa.
nawasilisha.
nawasilisha.