Mko katika kampeni ya kumnadi mr manywele,kama vile sisi watanzania ni wajinga,first mzee amechoka na inabidi nguvu ya ziada itumike kama hivi mnavyofanya usanii.
Mkimaliza pia mtupeleke kwa john pombe magufuli kama mko fair na sio deal
Mmuangalie RAISIkwa hiyo ce tufanyaje?
Kumbe TBC ilivoacha kuonesha uzinduzi wa kampeni za UKAWA ilikuwa ni deal eeehMko katika kampeni ya kumnadi mr manywele,kama vile sisi watanzania ni wajinga,first mzee amechoka na inabidi nguvu ya ziada itumike kama hivi mnavyofanya usanii.
Mkimaliza pia mtupeleke kwa john pombe magufuli kama mko fair na sio deal
Kumbe TBC ilivoacha kuonesha uzinduzi wa kampeni za UKAWA ilikuwa ni deal eeeh