ITV ndo television ya taifa

ITV ndo television ya taifa

Dik

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,205
Reaction score
416
Hawa itv wanastahili pongezi. Wana coverage nzuri sana,almost kila kona ya tanzania na hawako biased. Hali ni kinyume na TBC wanaoonesha habari za chama tawala,huku wakipuuzia vyama vingine na shughuli za kijamii. HONGERA ITV.
 
Kabisa yaan ITV ndo television ya taifa inatoa taarifa zote ziwe za ccm chadema za kidini yaan wanafurajisha sana!TBC haina watazamaji labda live bunge ndo tunaangaliaga kama hawaamin basi wafanye poll waone ukweli!halafu hata vipindi vingi havina tija!
 
tbc ni tv ya ccm ambayo . na ccm ndio chama kinapendwa na watanzania walio wengi. ITV ni tv binafsi kwa kuwahudumia watanzania wote na kufanya biashara kwa matangazo.
 
ila ccm inakubalika sana vijijini ambako wengi hawatumii tv, lakini wameikabidhi ccm tv. maajabu ya democrasia haya.
 
tbc ni tv ya ccm ambayo . na ccm ndio chama kinapendwa na watanzania walio wengi. ITV ni tv binafsi kwa kuwahudumia watanzania wote na kufanya biashara kwa matangazo.

sasa ndo umeandika nini?cjui kichwani kuna nini? CCM mkubwa wewe!
 
Hata nikitaka kuangalia taarifa ya habari saa 2 basi lazima niweke super brand maana ndio kituo bora Tanzania.wale wengine tupa kule habari zao ni semina tupu.
 
Wabongo bwana yaani ni watu wa matukio mh
kesho utasikia mengi ana kavareji kubwa kwenye vyombo vyake vya habari
 
ITV ndio televisheni yenye kiwango tatizo lake ina matangazo mengi ya biashara
 
Hata nikitaka kuangalia taarifa ya habari saa 2 basi lazima niweke super brand maana ndio kituo bora Tanzania.wale wengine tupa kule habari zao ni semina tupu.

Acha tu wakiuwe chombo hicho maana hakitusaidii. Bora wangegeuza iwe channel ya vikatuni huenda itapata watazamaj
 
Mi huwa ITV naiita majembe ya habari, hata nikiwa home ikifika saa mbili kamili usiku utasikia wote "weka itv"
 
Hawa itv wanastahili pongezi. Wana coverage nzuri sana,almost kila kona ya tanzania na hawako biased. Hali ni kinyume na TBC wanaoonesha habari za chama tawala,huku wakipuuzia vyama vingine na shughuli za kijamii. HONGERA ITV.

au leo umeonekana kwenye hyo tv ndo unasifia ila ikifika kesho unaanza kuiponda ooh cjui mengi hivi mara vile wabongo bana ngoja tubaki na elimu yetu ya kukariri basi kwenye hii sred tayari mshaingiza siasa zenu dig to the point ..ila kiukwel itv wanatisha
 
mi sipendi TBC inaniboa sijui haina mafundi wazuri yaani quality yake huwezi kufananisha na Citizen ya kenya, TBC ndiyo ya taifa ila ni mbovu sana, wangejitahidi wafikie ITV then Mungu atawawezesha kupata wataalamu na vyombo nafikiri ningependa kuiona tv ya taifa inang'aa kama citizen ya kenya
 
tbc ni tv ya ccm ambayo . na ccm ndio chama kinapendwa na watanzania walio wengi. ITV ni tv binafsi kwa kuwahudumia watanzania wote na kufanya biashara kwa matangazo.
Sijaelewa hapo kwenye bold, fafanua.
 
Yani ITV bana ni kibokoo...na kwa sasa inapendwa na wajinga wengi kweli hasa wa UKAWA na wanaotoka mikoa ya Arusha na Moshi eti kisa ni ya mwana Ukawa mwenzao...Shutuuu...,ukabila,udini na ukanda utawamaliza nyie makawa-d
 
Kwa sasa hv ndo watu tunaiangalia kwa sababu ya World Cup tu ila huwa wanaboa sana wale
 
Yani ITV bana ni kibokoo...na kwa sasa inapendwa na wajinga wengi kweli hasa wa UKAWA na wanaotoka mikoa ya Arusha na Moshi eti kisa ni ya mwana Ukawa mwenzao...Shutuuu...,ukabila,udini na ukanda utawamaliza nyie makawa-d

Acha upuzi wewe kila kitu siasa inaonyesha ni jinsi gani Ukawa inakunyima usingizi badala muwahudumie wananchi wa appreciate kazi na huduma mnazotoa kwa wananchi mumubaki na wimbo wa udini ukabila hvo havitawaokoa wananchi wengi niwaelewa tofauti na zamani
 
Acha upuzi wewe kila kitu siasa inaonyesha ni jinsi gani Ukawa inakunyima usingizi badala muwahudumie wananchi wa appreciate kazi na huduma mnazotoa kwa wananchi mumubaki na wimbo wa udini ukabila hvo havitawaokoa wananchi wengi niwaelewa tofauti na zamani

bora umemwambia yani kuna mijitu sijui ikoje mi tbc mwenzenu hapana ndo mana hat ving'amuzi visivyo na itv vnanipa shida yani mwaka jana ht bss haikua na msisimko kwa sababu ya tbc
 
bora umemwambia yani kuna mijitu sijui ikoje mi tbc mwenzenu hapana ndo mana hat ving'amuzi visivyo na itv vnanipa shida yani mwaka jana ht bss haikua na msisimko kwa sababu ya tbc

Yani nicipoangalia itv naona sijakamilika aisee ona kama ze comedy bss yenyewe imepooza kwa sababu ya tbc halafu hawaboreshi vipindi wanachezea kodi za wananchi na hawafanyi la maana bora enzi za Tindo Mhando mi nakaribia mwaka cjaangalia hyo TV
 
Back
Top Bottom