ITV na Wosia wa Baba wa Taifa

WALIKUWA WAMEMLENGA DIKTETA UCHWARA JOHN POMBE MAGUFULI ( mzee wa kufyatua watoto/ baba jesca/ mikurupoko/ katilii/ mkojorea katiba)

Jaribu kuweka akiba ya maneno na jitahidi kutumia lugha ya staha.
 
WALIKUWA WAMEMLENGA DIKTETA UCHWARA JOHN POMBE MAGUFULI ( mzee wa kufyatua watoto/ baba jesca/ mikurupoko/ katilii/ mkojorea katiba)
Duh!! Mkuu kilaza mjanja maneno yako makali sana. Angalia usije ukawa-mhanga wa kale kasheria ketu kaleee!! Labda kama haupo ndani ya mipaka yetu.
 
Hizi si dalili nzuri kwa ustawi wa Taifa na Watu wake...Kuna sehemu tumejikwaa kama Taifa. Kweli Utumwa Unarejea taratibu . Japo kuwa minyororo haionekani hadharani lakini tayari Taifa linafungwa minyororo na waliopewa dhamana ....
 
Ni kweli, kila kitu kwa kiasi. Katiba nzuri kuliko iliyopo na inayopendekezwa ingesaidia sana kunyoosha mambo. Kwa sasa tuendelee kufanya kazi!
 
Msimtumie mwalimu ili mpate kiki ya jukwaa,wakati wa mwalimu kulikuwa na maandamano kwa mfano sherehe za mei mosi,mwalimu alikuwa anahamasisha wananchi waunge mkono maazimio kwa mfano la arusha.MIMI USHAURI WANGU NI HUU TULIUNGE AZIMIO LA KUHAMIA DODOMA TWENDENI DODOMA KILA CHAMA KITOE ANGALAO WATU MIA TUTEMBEE KWA MIGUU MPAKA DODOMA. ACHENI UJINGA WA SIJUI UKUTA, SIJUI HAKUNA KULALA.
 
Leo ITV wamekuja na Wosia wa Baba wa Taifa kuhusu udikteta ambapo wameonyesha sehemu ya Hotuba ya Mwalimu Nyerere akikemea udikteta hasa wa viongozi wa kiafrika na tabia ya madikteta hao kuminya uhuru wa habari.
 
WALIKUWA WAMEMLENGA DIKTETA UCHWARA JOHN POMBE MAGUFULI ( mzee wa kufyatua watoto/ baba jesca/ mikurupoko/ katilii/ mkojorea katiba)
Utafungwa ndugu yangu, Omba tu Rais awe amepata ule uvumilivu wa JK aliyokuwa akiuomba.
 
WALIKUWA WAMEMLENGA DIKTETA UCHWARA JOHN POMBE MAGUFULI ( mzee wa kufyatua watoto/ baba jesca/ mikurupoko/ katilii/ mkojorea katiba)
Mbona lugha yako siyo ya kistaarabu?umetumbuliwa sasa uko nje ya nchi.
 
Maandamano na matembezi ni vitu viwili tofauti, rudi shule.
 
Hivi aliyemuweka jela ya nyumbani marehemu Jumbe ni nani? Kutaka serikali 3 ni kosa? Na udikteta ni nini?

Sawa, lakini Mwalimu aliona mapungufu yake alipokuwa madarakani na akaamua kutoa wosia wa kusaidia vizazi vya sasa na vijavyo. Angalia madudu yooote yaliyofanywa baada ya mwalimu kuaga dunia, ni rais gani mstaafu amainua mkono wake na kukemea? RIP Mwalimu
 
Ahahahahha conquer of "British Empire", sijui waingereza walikua wanajisikiaje?
Msumari wa moto ni "the lord of all the beast of earth"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…