ITV na uzembe uliokithiri

ITV na uzembe uliokithiri

Verified

Senior Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
117
Reaction score
380
noyb so gtfoh
 

Attachments

  • itv.png
    itv.png
    16.9 KB · Views: 1,229
  • itv2.png
    itv2.png
    79 KB · Views: 1,241
Hao ndio super brand sijui walitumia uwezo gani kuwapa sisi watazamaji ndio tunajua kama kweli wanastahili
 
..aisee kuzaliwa bongo ni form six tosha..
 
Kwa Company kubwa km IPP kushindwa kusolve tatizo km hlo,bc kuna Mkono wa Mtu ndan yke
 
Ile e-mail ya michuzi mbona waliingilia kinyume na maumbile yake?
 
Na kingine ni kuwa siku hizi sauti huwa inakuwa kama ni mkanda umenasa inateleza sasa sijui ni king'amuzi au ni wao kushindwa kazi
 
Na kingine ni kuwa siku hizi sauti huwa inakuwa kama ni mkanda umenasa inateleza sasa sijui ni king'amuzi au ni wao kushindwa kazi

Mimi ITV si waelewi kabisa. Mhe. Mengi unapoteza watazamaji zaidi ya elfu kumi tano almost kila siku. Mwisho wa siku utajikuta hii TV imekufa kifo cha mende. Nimesema hayo kwa sababu zifuatazo:
1. ITV haiko clear Kama star tv na tbc. Hii ni kwenye vingamuzi vyote mfano startimes, CTV nk
2. ITV inaongoza kwa kubusu sielewi tatizo ni nini na kwanini halishughulikiwi.
3. Kwa nini ITV imeshindwa kujiunga na DSTV, jamani na ukongwe wote imeshindwa na Star Tv?????
4. Sasa hivi kingamuzi cha CTV ni ITV peke yake haionekani, Star TV na TBC iko very clear. Kuna nini????
5. Hivi hii TV ina marketing manager kweli????? Kama yuko je anaelewa jinsi hii TV inavyoporomoka kwa kasi kila iitwapo Leo??? Au ina washauri wabovu???
6. Wapenzi wa ITV nikiwa mmoja wao nafadhaishwa na hicho kinachoendelea. Ukipoteza wateja kuwarudisha ni kazi kubwa wapendwa. Star TV inashika kasi, imekuwa competitor wenu wakati haikuwa hivyo before.
Queen Esther
 
Back
Top Bottom