ITV na nyinyi pia mmenunuliwa au...............?

Livanga

JF-Expert Member
Apr 15, 2010
469
148
Imeniwia vigumu kuamini nilichokiona leo ila ndio ukweli. ITV walitangaza habari kuhusu kifo cha muasisi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo na mara wakapata kigugumizi then wakaweka habari ya maji. At the end nilitegemea wangeomba msamaha lakini haikuwa ivyo. Sasa swali langu ni je wamepigwa marufuku kutangaza habari za CDM au ni uwoga kwa chama tawala kwani pia katika habari hiyo walisema chadema wahoji kwanini CCM hawakutoa majibu kuhusu swala fulani(sikulisikia vizuri)

MY TAKE KWA VYOMBO VYA HABARI:
Tunapo andika habari kuhusu chombo fulani cha habari haina maana kwamba inatoka kinywani/kichwani kwa anayeandika bali ni mtizamo wa watanzania wengi kwa chombo husika. So please jirekebisheni tanzania ya sasa sio ya zamani.
 
Imeniwia vigumu kuamini nilichokiona leo ila ndio ukweli. ITV walitangaza habari kuhusu kifo cha muasisi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo na mara wakapata kigugumizi then wakaweka habari ya maji. At the end nilitegemea wangeomba msamaha lakini haikuwa ivyo. Sasa swali langu ni je wamepigwa marufuku kutangaza habari za CDM au ni uwoga kwa chama tawala kwani pia katika habari hiyo walisema chadema wahoji kwanini CCM hawakutoa majibu kuhusu swala fulani(sikulisikia vizuri)

MY TAKE KWA VYOMBO VYA HABARI:
Tunapo andika habari kuhusu chombo fulani cha habari haina maana kwamba inatoka kinywani/kichwani kwa anayeandika bali ni mtizamo wa watanzania wengi kwa chombo husika. So please jirekebisheni tanzania ya sasa sio ya zamani.

Mkuu tutende haki kwa wenzetu ITV.Ni kweli kulikuwa na muingiliano wa taarifa.Hata hivyo mwishoni ITV wametoa taarifa mbili za CDM.Moja mkutano wa Dr Slaa huko Ruangwa na taarifa ya Mnyika kuhusu mazishi ya Bob Makani.Na taarifa zote zilipewa muda wa kutosha kabisa.
 
Imeniwia vigumu kuamini nilichokiona leo ila ndio ukweli. ITV walitangaza habari kuhusu kifo cha muasisi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo na mara wakapata kigugumizi then wakaweka habari ya maji. At the end nilitegemea wangeomba msamaha lakini haikuwa ivyo. Sasa swali langu ni je wamepigwa marufuku kutangaza habari za CDM au ni uwoga kwa chama tawala kwani pia katika habari hiyo walisema chadema wahoji kwanini CCM hawakutoa majibu kuhusu swala fulani(sikulisikia vizuri)

MY TAKE KWA VYOMBO VYA HABARI:
Tunapo andika habari kuhusu chombo fulani cha habari haina maana kwamba inatoka kinywani/kichwani kwa anayeandika bali ni mtizamo wa watanzania wengi kwa chombo husika. So please jirekebisheni tanzania ya sasa sio ya zamani.

...mi mwenyewe nimeshangaa na ckuelewa kwnn imekuwa vile?au makusudi?
 
Mkuu tutende haki kwa wenzetu ITV.Ni kweli kulikuwa na muingiliano wa taarifa.Hata hivyo mwishoni ITV wametoa taarifa mbili za CDM.Moja mkutano wa Dr Slaa huko Ruangwa na taarifa ya Mnyika kuhusu mazishi ya Bob Makani.Na taarifa zote zilipewa muda wa kutosha kabisa.

...ok,asante kwa kutujulisha
 
Ishu sio kutoa habari bali ile ambayo ina ujumbe fulani kwa Serikali au chama tawala wanaipotezea kama iyo nina imani ilipotezewa baada ya kuwa na kipengele cha "Chadema wahoji kwanini CCM hawajajibu hoja fulani kutoka kwa wananchi katika mkutano wao".
 
Naamini lilikuwa tatizo la kiufundi tu....Kosa kubwa la TV zetu ni kutokuomba radhi watazamaji pale linapojitokeza tatizo la kiufundi...
 
Back
Top Bottom