Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Imeniwia vigumu kuamini nilichokiona leo ila ndio ukweli. ITV walitangaza habari kuhusu kifo cha muasisi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo na mara wakapata kigugumizi then wakaweka habari ya maji. At the end nilitegemea wangeomba msamaha lakini haikuwa ivyo. Sasa swali langu ni je wamepigwa marufuku kutangaza habari za CDM au ni uwoga kwa chama tawala kwani pia katika habari hiyo walisema chadema wahoji kwanini CCM hawakutoa majibu kuhusu swala fulani(sikulisikia vizuri)
MY TAKE KWA VYOMBO VYA HABARI:
Tunapo andika habari kuhusu chombo fulani cha habari haina maana kwamba inatoka kinywani/kichwani kwa anayeandika bali ni mtizamo wa watanzania wengi kwa chombo husika. So please jirekebisheni tanzania ya sasa sio ya zamani.
MY TAKE KWA VYOMBO VYA HABARI:
Tunapo andika habari kuhusu chombo fulani cha habari haina maana kwamba inatoka kinywani/kichwani kwa anayeandika bali ni mtizamo wa watanzania wengi kwa chombo husika. So please jirekebisheni tanzania ya sasa sio ya zamani.