ITV na kipindi cha "Wosia wa Baba wa Taifa

Katika clip hiyo fupi,Baba wa Taifa anasema:

"Hatutaki Raisi Mkabila na kaburu"

Tunapaswa kumuenzi huyu mzee kwa vitendo.
Mkuu ukitaka kujua ni laana ya huyu mzee imeshanza kuwatafuna ni pale faru john anaposhangaza watanzania ata karakana ya kuchomea makarai nacho ni kiwanda. Nae waziri wake amebaki kuwa mtu wa sound na kusema Tanzania kuna hadi kiwanda cha 100,000. Hizi ndio mojawapo ya laana wameanza kuipata.
 
Back
Top Bottom