DOMINICK GERVAS
Member
- Feb 7, 2013
- 12
- 0
I.T.V Stop Ths Habit
Nimesoma makala zenu nimegundua hamjui tabia ya mwenye hiyo tv! Kwa wale waliowahi kusoma kitabu cha Ayi Kwei Amah kiitwacho The Beutiful Ones Are not yet Born mwandishi amemueleza ndege aitwaye Chichi dodo. Huyu ndege anachukia sana kinyesi lakini cha ajabu anapenda sana kula funza wanaotoka kwenye kinyesi! Tafakarini!Mengi kituo chake kinahujumiwa na vikada vichache vya ccm amkumbuki some body makunga Dc Hai sasa hivi je alihujumu upinzani kwa kiasi gani mpaka akakumbukwa udc, so I think bado IPP media kuna virusi sampuli hiyo ndio hizo impact tunazoona leo
Nipo tayari kuchangia kama nitasikia CDM kipo katika mchakato wa kuanzisha hata radio,tbccm,itvccm,statvccm na chanel 10ccm
Nimesoma makala zenu nimegundua hamjui tabia ya mwenye hiyo tv! Kwa wale waliowahi kusoma kitabu cha Ayi Kwei Amah kiitwacho The Beutiful Ones Are not yet Born mwandishi amemueleza ndege aitwaye Chichi dodo. Huyu ndege anachukia sana kinyesi lakini cha ajabu anapenda sana kula funza wanaotoka kwenye kinyesi! Tafakarini!
Kituo cha i.t.v ktk taarifa za habari wana mtindo wa ku pitisha maneno ya habari zilizomo, usiku huu nimeshangaa habari ya kuhusu kesi ya lema na mulongo imeyeyukia hewani bila kurushwa. .sitaki kuamini i.t.v nao wanatumikia serikali na ccm kama tbc. Ila nina imani kuna mtu kapigiwa simu akipewa donge nono iliasionyeshe jinsi serikali ya ccm inavyotumia vibaya kodi za wananchi kuwafungulia kesi zisizo na maana wapinzani. Anyway i hope kesho habari zitatapakaa magazetini.
Long live chadema