Ukawa ni makapi tu hamna jipya
kawaulize na TBC kwanini wanapendelea CCM wakati sio TV ya chama ile
bora hata ITV wanaonyesha habari za CCM ila TBC hawajawahi kunyesha habari yeyote ya UKAWA
Wanalilia vitalu vya gesi walionyimwa na Prof Muhongo....na pia babu EL aliwataja na kuwashukuru ITV na Azam....sijui nini kimejificha hapo ila kwa ujumla ataachia mazingira magumu sana ya kazi. Na Tido nae analipiza kisasi cha kuondoka tbc anasahau mkono wa dola...
Makapi yako mengi tu kama yalivyoorodheshwa hapa chini:
Nchemba
Wasira
Pinda
Bilal
Mwakyembe
Makongoro
Membe
Mwandosya
Ramadhani
Malecela
Mahiga
Muhongo
Ngeleja
Nyalandu
.......
Tafakari...
Ukawa ni makapi tu hamna jipya
aliyekuloga ameshakufa, unaonekana ww n mzee ndo mana uhitaj mabadiliko
Kwa sababu makapi mengi yamebaki ccm nahitimisha kwa kusema CCM ni Chama Cha Makapi.
Kwa nn mnaipendelea UKAWA kama vile CCM tena chama tawala hakipo? Hamjui tunaweza kuagiza TCRA mkafungiwa maisha?