ITV kutokuwa hewani kwa muda usiojulikana!

ITV kutokuwa hewani kwa muda usiojulikana!

Hii ni kwa mujibu wa tangazo lao wenyewe kabla ya kusitisha matangazo yao saa nane mchana hivi kwa walichoeleza ni matengenezo.

wanafanya marekebisho media zote za Ipp zinafanyiwa servises.. Si walitangaza kwamba wanaomba radhi...!!!
 
M4c daima

ITV daima

Tanzania daima

Kwangu mm hainihusu maana nichombo cha propaganda za CHADEMA
 
Kwanini hawajawahi kuonesha mambo yenye tija? Mf soccer.bunge,nk hata wazme daima
 
Hii ni kwa mujibu wa tangazo lao wenyewe kabla ya kusitisha matangazo yao saa nane mchana hivi kwa walichoeleza ni matengenezo.

Acha watu wakukwaze lakini taarifa yako imesaidia sana.
Mie nilikuwa naangalia ikaganda na nilikuwa sina taarifa ila nimeipata baada ya kusoma hapa.Ila imerudi kwa sasa

Tafadahli usichoke kutoa taarifa yoyote kwa kuhofia kukwazwa.
Humu Binaadamu tupo tofauti.Kuna watu TV wala Gazeti hawasomi wao ubishi tu.
Stay Blessed
 
Mijitu mingine bana TBC wanasema ya CCM ITV ya Chadema haya sasa kila chama kiangalie station yake basi.
 
ingekuwa cloud au channel 4 ningehuzunika hii haina mvuto.naona walitambua hilo wanajitoa polepole
 
mbona nililoa izimwe tv ya taifa la tanzania?mwenyezi mungu twakuomba mpe maisha marefu dr mengi.
 
Wafe milele maana nao siku hizi Wanatumika vibaya na lichama fulani! Sina hamu nayo. Siku hizi naangalia Emmanueltv, full KUBARIKIWA!
 
Itv kiukweli haina vipindi vizuri kama tbc na star tv. Itv ukishaangalia taarifa basi, angalia tbc na star tv inavipindi vingi vya kuahabarisha jamii, itv tamthilia na catoon kila wakati
 
Back
Top Bottom