Ni bora wajitoe mapema ili wananchi walazimike kuhamia ving'amuzi vingine mapema kabla ya kampeni za kura ya maoni na pia uchaguzi mkuu. Kipindi hicho startimes watafanya michezo yao hiyo wanayofanya wakati wa taarifa ya habari ili wananchi wasipate fursa ya kutazama habari za ukweli na uhakika kupitia ITV.
DStV jaman ndio mpango mzima hao wengine wasindikizaji tuu!
Siwezi kuiangalia TBC labda moudoudou na wakwe zake hapo napo nikikumbuka but sio station ya kuangalia :spy:
Kutokana ITV kueleza kuwa inahujumiwa kwenye king'amuzi cha Star Times inaweza kujitoa muda wowote.Pia ITV wameshaanza kutoa matangazo wakitaja orodha ya ving'amuzi ambavyo vinarusha matangazo yao.Katika orodha hiyo king'amuzi cha Star times hakipo.
Kutokana ITV kueleza kuwa inahujumiwa kwenye king'amuzi cha Star Times inaweza kujitoa muda wowote.Pia ITV wameshaanza kutoa matangazo wakitaja orodha ya ving'amuzi ambavyo vinarusha matangazo yao.Katika orodha hiyo king'amuzi cha Star times hakipo.
Kwanza suala la kujitoa halipo kisheria kwani wenye vituo vya tv tanzania sharti moja la kupata leseni ni kuonyesha tv zote za kitaifa bure halafu wanandugu suala hili ni lakifundi zaidi na ndiyo maana star times wamewasiliana na TCRA ili kulitatua na tatu ukweli ni kwamba ITV ina bifu kubwa na TBC [Startimes] kwani wao ITV walikuwa na mchakato wa kuingia ubia na kamuni moja ya kichina kufanya kama ilivyo startimes ila TBC wakati Tido ndiyo alikuwa CEO aliwatangulia na hivyo kuwa kama mtu aliyenyang'anywa tonge wakati lilikuwa linaingia mdomoni.
vyovyote vile haipaswi kubaniwa, na by the way channels zingine za digitek zinazokata picha na kubaki sauti ni aljazeera na Citizen ya kenya, hizo nazo za "kijinga"?
Mkuu wakati mwingine inategemea mmiliki wa king'amuzi nini anataka nini hataki kulingana na matakwa ya kibiashara, Hasa ukiachana na chanel za lazima kuwa ziwep.
Kuhusu sauti, hiyo nafikiri hawatendei haki wateja wake. Ni bora angetoa kabisa kuliko kurusha bila sauti kwa sasa.