Kutokana ITV kueleza kuwa inahujumiwa kwenye king'amuzi cha Star Times inaweza kujitoa muda wowote.Pia ITV wameshaanza kutoa matangazo wakitaja orodha ya ving'amuzi ambavyo vinarusha matangazo yao.Katika orodha hiyo king'amuzi cha Star times hakipo.
ITV iko Azam Tv,kingamuzi bora kabisa,DSTV, Digitek ila sio kizuri , Zuku, Ting nk,kila kingamuzi laxima kiwe na ITV ili kiweze kuuza, bado mpo Star tmes,?
Mkuu hii nchi kila mtu mpigaji..binafsi nilinunua kisumbusi cha Startimes 2010 baada ya kuambiwa hatuwezi kuangalia world cup hadi tuwe na Startimes..mzee nikajikunja nikatoa sh. elf 99,000 hadi receipt ninayo..baada mpira wenyewe hatukuuona tena..sijui nini kilitokea na mind you by then Startimes ndo walikuwa wa kwanza kabisa kuingiza bidhaa zao sokoni na promo kubwa toka kwa Tbc chini ya DG..Tido Mhando..