Jamaa hawaeleweki, unaweza kutangaza ukasikia unatakiwa kulipia.Mtangazaji wa ITV michezo anatupa habari zingine za kina Mess na Pele bila kutaja habari za timu yetu iliyocheza na kushinda leo! Habari gani ina uzito zaidi ya hii? Tuenzi vyetu kwanza.
Jamaa hawaeleweki, unaweza kutangaza ukasikia unatakiwa kulipia.
We unawaona kama wako timamu wale, mi na fikiri hata Star TV bora waanze kurusha
Ligi ya Msumbiji kuliko hii ya bongo Mizengwe kila kona.
Kumbe mkuu na wewe umeonaeeeh eti huyu Lofa MAULID KITENGE anasahau kutangaza taarifa za timu yetu ya TAIFA anakumbuka ufaransa, italy na argentina....Mzembe sasa huyu kitenge amefikia kuona habari za simba kugombana na yanga kutangaza hela za usajili ni bora kuliko timu yetu.....................Mpuuuuuz nimekudharauMtangazaji wa ITV michezo anatupa habari zingine za kina Mess na Pele bila kutaja habari za timu yetu iliyocheza na kushinda leo! Habari gani ina uzito zaidi ya hii? Tuenzi vyetu kwanza.
Mi nafikiri tetesi za OKWI kwenda Yanga ndo zinaleta hasira hapa.Kumbe mkuu na wewe umeonaeeeh eti huyu Lofa MAULID KITENGE anasahau kutangaza taarifa za timu yetu ya TAIFA anakumbuka ufaransa, italy na argentina....Mzembe sasa huyu kitenge amefikia kuona habari za simba kugombana na yanga kutangaza hela za usajili ni bora kuliko timu yetu.....................Mpuuuuuz nimekudharau
Sawa kabisa, Litimu lenyewe toka ameondoka Maksimo halipendeki.Kwani ni lazima kuangalia ITV??? JARIBUNI ATN
Acha kutoka mapovu wewe huna habari kutangaza habari za timu hapa bongo unatakiwa ulipie?Muulize Tenga na Tihefu hefu yake ni taasisi ya nani kama sio magamba...kwanza unalia lia kuna timu ya taifa bongo?Kumbe mkuu na wewe umeonaeeeh eti huyu Lofa MAULID KITENGE anasahau kutangaza taarifa za timu yetu ya TAIFA anakumbuka ufaransa, italy na argentina....Mzembe sasa huyu kitenge amefikia kuona habari za simba kugombana na yanga kutangaza hela za usajili ni bora kuliko timu yetu.....................Mpuuuuuz nimekudharau
Huna lolote wewe ni gamba na unataka kutuiga makamanda tulivyopiga chini kuangalia li tv lenu la kinafiki TBCCM...kama vp sepa tu urudi kwenu tbcmagamba!!!!Uandishi ni taaluma na taaluma ya uandishi inaongoza kwa kuvamiwa na vilaza. Tatizo si ITV, tatizo ni waandishi wasiotaka kujiendeleza. Jamaa amechemka sana, anachoweza kufanya ni kushusha hadhi ya ITV tu. Nitaichukia kwa utangazaji wa aina hii. Bahati tuna uchaguzi mwingi, wameingizwa tayari ZUKU, STARTIMES NA TING. ZIPO STATION NYINGI HUKO. SIKUHIZI NITAKUWA NAIRUKA ITI AU KUIBLOCK KWANGU
bongo hakuna timu ya taifa ila kuna map............................bu yako yanacheza mpira....acha ujinga wewe kama una cha kuchangia kaa kimyaAcha kutoka mapovu wewe huna habari kutangaza habari za timu hapa bongo unatakiwa ulipie?Muulize Tenga na Tihefu hefu yake ni taasisi ya nani kama sio magamba...kwanza unalia lia kuna timu ya taifa bongo?
wakati najaribu kufuatilia observation ya JK kutokujua ni kwa nini nchi ni masikini, nimeanza kupata mawazo kuwa mchango mkubwa wa umasikini tulionao na udumavu wa mawazo unachangiwa na vyombo vyetu vya habari.Uandishi ni taaluma na taaluma ya uandishi inaongoza kwa kuvamiwa na vilaza. Tatizo si ITV, tatizo ni waandishi wasiotaka kujiendeleza. Jamaa amechemka sana, anachoweza kufanya ni kushusha hadhi ya ITV tu. Nitaichukia kwa utangazaji wa aina hii. Bahati tuna uchaguzi mwingi, wameingizwa tayari ZUKU, STARTIMES NA TING. ZIPO STATION NYINGI HUKO. SIKUHIZI NITAKUWA NAIRUKA ITI AU KUIBLOCK KWANGU
wakati najaribu kufuatilia observation ya JK kutokujua ni kwa nini nchi ni masikini, nimeanza kupata mawazo kuwa mchango mkubwa wa umasikini tulionao na udumavu wa mawazo unachangiwa na vyombo vyetu vya habari.
Sababu zinaweza kuwa nyingi lakini upeo wa hawa jamaa ni mdogo ambao umesababishwa na elimu duni labda. Fikiria ju ya hilo pia!
Si nimekwambia wewe ni gamba....hapa ndo umejibu hoja??Haya endelea tena tuufaidi upumbavu wako...bongo hakuna timu ya taifa ila kuna map............................bu yako yanacheza mpira....acha ujinga wewe kama una cha kuchangia kaa kimya
Mimi naomba kutofautiana na wewe kidogo,hata kama itarudiwa ile habari ni kwamba walitanga mwisho kabisa,lakini bila kuipa uzito wowote,nadhani hilo ndiyo kosa lao!Mtangazaji wa ITV michezo anatupa habari zingine za kina Mess na Pele bila kutaja habari za timu yetu iliyocheza na kushinda leo! Habari gani ina uzito zaidi ya hii? Tuenzi vyetu kwanza.