ITV hapa mlikuwa na maana gani?

ITV hapa mlikuwa na maana gani?

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,504
Reaction score
8,253
ImageUploadedByJamiiForums1438332226.694001.jpg
Soma kwenye mstari wa blue
 
Hapana ni maandishi ya kufundisha watu ukweli.....unatakiwa usome katikati ya mistari
 
wameandika kimasai hao chezea Lowasa wewe
 
Ndo kawaida yao. Mi hua nafurai sn nnapoona document ya serikal ina typing error. Nshakutana na typing error kweny sylabus, kariba pendekezwa, standing order e.t.c
 
Ndo kawaida yao. Mi hua nafurai sn nnapoona document ya serikal ina typing error. Nshakutana na typing error kweny sylabus, kariba pendekezwa, standing order e.t.c

hahaha na wewe umechapia hapo kwenye kariba ulimaanisha katiba
 
Ndo kawaida yao. Mi hua nafurai sn nnapoona document ya serikal ina typing error. Nshakutana na typing error kweny sylabus, kariba pendekezwa, standing order e.t.c

Nafurahi na si nafurai usitoe kibanzi kwa mtu ili hali una boriti.
 
Back
Top Bottom