Wikiliki
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 528
- 139
wadau ni muda mrefu sasa kituo cha television cha itv hakionekani hewani kwa njia ya antena za kawaida. Kulikoni au mengi ameona arusha hakuna la maana ndio maana akaamua kuitoa hewani. Kuna wakati nilisikia mitambo ya kurushia matangazo ilipigwa shoti ya umeme lakini mbona ni muda mrefu sana. Mwenye habari zaidi atujuze.