Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
Nimecheka mpaka nikashitua watu
same tu me,,nimecheka ila kwakua niko peke yangu tu,watu wana fast answer here
Nimecheka mpaka nikashitua watu
na mie huwanajiuliza hivyo
kumbe wengi?
clouds watakuwa wanatangaza nini uarabuni?
Mchaga yule ubahili na roho mbaya inamsumbua yote hii ni kukipa promo kin'gamuzi chake cha Digitek kiuzike hata Fstv hataki kwenda
ule wimbo wa heloo heloo Tanzania....
Mnaongoza kuwanywesha pombe walemavu halafu mnaenda kuomba msaada wa kupunhuziwa kodi eti mnasaidia sana jamii ya walemavu. Kweli hamkurupuki!
habari za Wema na Diamond. Pia Mbwiga wa mbwiguke atakuwa anachombeza
ule wimbo wa heloo heloo Tanzania....