chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Habari zenu wana-JF!!
Bila shaka hizi ni baadhi ya kampuni chache zinazoongoza kwa uhabarishaji makini wa habari huku wengine wakijikongoja,hilo halina ubishi,
Kama Clouds Tv ambayo haifikii hata chembe kwa ITV na EATV iweje CLOUDS sasa wanarusha matangazo yao mpaka falme za kiarabu [UAE] alafu ITV mshindwe?
Jitahidini kuongeza coverage nchi mbalimbali kwani uwezo mnao ni kuamua tu!!
ITV na EATV mnahitaji watenda kazi wabunifu ili kuwafikia watu wengi ndani na nje ya Tanzania.
Bila shaka hizi ni baadhi ya kampuni chache zinazoongoza kwa uhabarishaji makini wa habari huku wengine wakijikongoja,hilo halina ubishi,
Kama Clouds Tv ambayo haifikii hata chembe kwa ITV na EATV iweje CLOUDS sasa wanarusha matangazo yao mpaka falme za kiarabu [UAE] alafu ITV mshindwe?
Jitahidini kuongeza coverage nchi mbalimbali kwani uwezo mnao ni kuamua tu!!
ITV na EATV mnahitaji watenda kazi wabunifu ili kuwafikia watu wengi ndani na nje ya Tanzania.