jamani hizi television za ipp wamezipunguza signal au,maana leo cku ya pili sizipati kwenye setelite,signal 21%tu
nunueni madishi ya ft 8 hamtapata shida ya signal kupungua wala nini
nunueni madishi ya ft 8 hamtapata shida ya signal kupungua wala nini
Kama signal hakuna hata dish la ft 12 huwezi kupata.