"It's me THE PRESIDENT"

"It's me THE PRESIDENT"

Bassanda

Member
Joined
May 14, 2009
Posts
53
Reaction score
3
1. It's me THE PRESIDENT
2. Rais wa MASHAROBARO
2. A.k.a. BOB JUNIOR
3. A.k.a. MR CHOCOLATE

Anayejinadi hivyo si mwingine bali ni kijana RAHIM RAMADHANI aliyepo hapo chini kulia, msikilize:

 
Last edited by a moderator:
Nini maana ya masharobaro? au nimepitwa na wakati.
 
Nini maana ya masharobaro? au nimepitwa na wakati.

Inaonekana huko bongo hilo neno ni popular kwa sasa, nafikiri kwa siye tuliopitwa na mambo huko nyumbani nahisi linamaanisha kitu kama "Bitoz" au "Tozi" au "brazamen" au "bishoo"au "bishololo".

Sina hakika sana, mwenye kujua atujuze wandugu ili nasisi tukaporudi nyumbani baada ya kumaliza utumishi wetu wa kubeba maboksi huku ughaibuni tusiwe wageni wa misamiati mipya.
 
Video yake haijanifurahisha kushirikisha watoto ilihari madhila ya wimbo wake unaongelea na kulilia mapenzi. Nafikiri watoto hao kawapa image mbaya na ambayo mtaani iliwachukua/itawachukuwa muda kuiacha.
 
Back
Top Bottom