Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,660
- 7,948
Huu ni ukweli, japo nimeshangaa Sana baadhi ya wabunge kusema wametoka hotel nzuri wako kwenye nyumba za kulala wageni sasa wanadai ni shida. Nikajiuliza, mbona hawa tumekua nao wengine hata viatu shuleni hawana, kwao nyumba zao ni mbavu za mbwa, Chakula hawana !
Ila, ukweli umeusema.
Japo, siku hizi wanasema matatizo yako laumu ukoo wako na wazazi wako.
Ila, ukweli umeusema.
Japo, siku hizi wanasema matatizo yako laumu ukoo wako na wazazi wako.
