Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,428
Mm binafsi bado namuombea uhai sana Jakaya Mrisho Kikwete, ili baada ya mwaka 2015 ana mshtaka ya kujibu, lazima apande mahakamani, sema hawa wanaitikafu wanataka kutupeperushia ndege wetu!
1.kudanganya WA -TZ kuwa atawapa maisha bora!
2.Kuua raia wema wakiandamana kudai Haki.
3.Kushindwa kusaidia ulinzi wa raia na mali zao! as per katiba!
1.kudanganya WA -TZ kuwa atawapa maisha bora!
2.Kuua raia wema wakiandamana kudai Haki.
3.Kushindwa kusaidia ulinzi wa raia na mali zao! as per katiba!