Itel 1556

Gwakukahja

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
1,119
Reaction score
740
Wadau naomba kufahamu ubora wa simu ya itel 1556
 
Nzuri kwa betri tu,ina betri kubwa la 5000mAh,kama mroho kwenye kudownload,kustream na kuangalia offline videos utakimbia mwenyewe,inakaa sana na chaji.
Lakini kwingine kama kamera na RAM siyo nzuri,ina kamera ndogo sana ya 5MP ya nyuma,na mbele ni 2MP,RAM ndiyo kabisa Hamna kitu,ina 512MB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…