Price
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 1,502
- 922
Kwame Nkrumah alitoka jela akawa Rais, Nelson Mandela nae alitoka jela akawa Rais, pia Obasanjo. Theodore Orji alitoka jela akawa Gavana, Omisore Lyiola alitoka jela akawa Seneta. Robert Mugabe alitoka Jela akawa Waziri Mkuu, baadaye Rais. Mmmh! kwa data hizi nilizonazo... wana JF , Kuna uwezekano Mwaka 2015 Rais akawa Babu Seya....!!!