Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,820
Wakati sasa tukiwa katika mjadala wa "VYETI feki "na wengine kufika hatua kuwasema vibaya waliofoji 'VYETI mitandaoni na wengine wakishangilia watu kuondolewa maofisini " kuna kitu ningependa kufahamu .
Hivi Leo hii ikitokea mtumishi aliyeondolewa serikalini kwa kashfa ya "VYETI FEKI" ivi itakuwaje ikitokea ameajiriwa tena katika mashirika ya private ambapo huko "UZOEFU WA NA UTENDAJI WA KAZI "
kwa mfano wakati yupo serikalini aliajiriwa kama mtu wa " IT au FINANCE "ikitokea ameajiriwa private kwa nafasi ile ile hapo sheria inasemaje """.
Je kama mwajiri wake amemwajiri kwa kuangalia kigezo cha UZOEFU na KAZI BILA KUANGALIA CHETI " YEYE AMEPENDEZEWA NA UFANISI WAKE WA KAZII ????
JE KATIKA HILO MNAZUNGUMZIAJE NA UPANDE WA PILI WAZIRI ANAWEZA KUFANYA UHAKIKI ???.
Hivi Leo hii ikitokea mtumishi aliyeondolewa serikalini kwa kashfa ya "VYETI FEKI" ivi itakuwaje ikitokea ameajiriwa tena katika mashirika ya private ambapo huko "UZOEFU WA NA UTENDAJI WA KAZI "
kwa mfano wakati yupo serikalini aliajiriwa kama mtu wa " IT au FINANCE "ikitokea ameajiriwa private kwa nafasi ile ile hapo sheria inasemaje """.
Je kama mwajiri wake amemwajiri kwa kuangalia kigezo cha UZOEFU na KAZI BILA KUANGALIA CHETI " YEYE AMEPENDEZEWA NA UFANISI WAKE WA KAZII ????
JE KATIKA HILO MNAZUNGUMZIAJE NA UPANDE WA PILI WAZIRI ANAWEZA KUFANYA UHAKIKI ???.