mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
Hili swali nimeenza kujiuliza miezi mitatu tangia Dr Magufuli aanze kuongoza, instincts zangu, style yake ya uongozi na uhusiano wake na wenzake ndani ya chama chao ndo mzizi mkuu wa swali.
Kwa mtazamo wangu wanaCCM halisi wanatambuana kwahiyo usitarajie atokee mtu ambaye ataji brand kama malaika awe ndo kiongozi wao ,ni suala la muda tu hii dhana itajidhihirisha . Hapa ndo moja ya hoja ambayo wanaomtabiria JPM ni one term president mbali na kusiriba demokrasia na katiba.
Wengi wao hawataafiki mkuu apewe tena nafasi is going to face a very strong opposition mbaya zaidi na watu wa ndani yake (insiders).Lakini hadi sasa hivi ndani ya chama hajatokea mtu ambaye ana nguvu za ushawishi wa kuziunganisha rangi halisi za CCM wengi wao wamejawa na uoga.
Kufuatia logic hii hapo juu ni wakati sasa Lowasa anahitajika zaidi CCM kuliko muda wowote they need a unifying figure na atapata support kubwa sana kuliko yeyote yule aliyewahi kuwa mwaCCM, na hii ndo itakua ticket ya ku justify kuangushwa kwa Hon president kwa lugha nyingine kigezo kilichotumika kumuangusha EL 2015 i.e kiongozi anayependwa na wanachama wengi kitatumika kumpata mwakilishi wao 2020 (hili halihitaji sana akili kutambua).
Kwa maoni yangu Hon atapata mshtuko mkubwa sana siku akisikia EL anarudi CCM na CCM itatoka kwenye ombwi la ukandamizaji wa "demokrasia yao"
Hii maana yake nini EL ataibuka kuwa kiongozi wa kwanza ambaye atapendwa upinzani na chama tawala (atapata popularity kubwa sans ikiwezekana hata baadhi ya vyama vitapata damage za kudumu)
Kama hayo hapo niliyoyaelekeza juu hayatatokea CCM itarajie exodus kubwa ya mapapa wake kuelekea upinzani mwaka 2020 na kama nguvu ile ya kidemokrasia za Africa (manipulations of general election results ) haitafanyika upinzani watachukua rasmi nchi 2020 ikiwa tu kama ataendelea na style yake ya leadership,sauti na matakwa ya watu na roles za civil society zitapuuzwa, viwanda havitajengwa,failures za uchumi hautarekebishwa,ukosefu wa ajira na bado akahitaji aongoze tena.
Kwa mtazamo wangu wanaCCM halisi wanatambuana kwahiyo usitarajie atokee mtu ambaye ataji brand kama malaika awe ndo kiongozi wao ,ni suala la muda tu hii dhana itajidhihirisha . Hapa ndo moja ya hoja ambayo wanaomtabiria JPM ni one term president mbali na kusiriba demokrasia na katiba.
Wengi wao hawataafiki mkuu apewe tena nafasi is going to face a very strong opposition mbaya zaidi na watu wa ndani yake (insiders).Lakini hadi sasa hivi ndani ya chama hajatokea mtu ambaye ana nguvu za ushawishi wa kuziunganisha rangi halisi za CCM wengi wao wamejawa na uoga.
Kufuatia logic hii hapo juu ni wakati sasa Lowasa anahitajika zaidi CCM kuliko muda wowote they need a unifying figure na atapata support kubwa sana kuliko yeyote yule aliyewahi kuwa mwaCCM, na hii ndo itakua ticket ya ku justify kuangushwa kwa Hon president kwa lugha nyingine kigezo kilichotumika kumuangusha EL 2015 i.e kiongozi anayependwa na wanachama wengi kitatumika kumpata mwakilishi wao 2020 (hili halihitaji sana akili kutambua).
Kwa maoni yangu Hon atapata mshtuko mkubwa sana siku akisikia EL anarudi CCM na CCM itatoka kwenye ombwi la ukandamizaji wa "demokrasia yao"
Hii maana yake nini EL ataibuka kuwa kiongozi wa kwanza ambaye atapendwa upinzani na chama tawala (atapata popularity kubwa sans ikiwezekana hata baadhi ya vyama vitapata damage za kudumu)
Kama hayo hapo niliyoyaelekeza juu hayatatokea CCM itarajie exodus kubwa ya mapapa wake kuelekea upinzani mwaka 2020 na kama nguvu ile ya kidemokrasia za Africa (manipulations of general election results ) haitafanyika upinzani watachukua rasmi nchi 2020 ikiwa tu kama ataendelea na style yake ya leadership,sauti na matakwa ya watu na roles za civil society zitapuuzwa, viwanda havitajengwa,failures za uchumi hautarekebishwa,ukosefu wa ajira na bado akahitaji aongoze tena.