choma julius
Member
- Jan 1, 2017
- 30
- 7
Wakati wa kule ulaya ukikutana nao ni kama zali na unapiga nao picha na uko happy
ungekataa wangekuuaHawa jamaa nuksi kweli niliingia kambini kwa mbwembwe na gari la kuazima napiga honi karibu na maeneo ya hospital yao akaja mmoja ananiambia chagua moja
Uruke kichura mpaka ulikotoka na urudie gari lako kwa kichura kutokea huko au urudi kwa Rivasi mpaka barabara kuu piga hesabu sasa ngoma uichekeche kutoka pale hospitalini mpaka barabara kuu nilikoma mbona na nimesimamiwa mpaka barabara hakuna kutoa kichwa nje tumia sidemirror
kwani wapi wameandikwa/pameandikwa ni wa tanzania mkuu....Kwa muonekano wa sare walizovaa; hawa sio wanajeshi wa Tanzania.
??????Juwa hatia kabla ya kuhukumu.wanajeshi wengi wa kiafrika ni wapumbavu tu wanaamini uniform zao ni leseni ya kunyanyasa wanyonge!
Huyo lazima alichaliDaaaah! Maskini kaingia pabaya kuna mwenzake aliiba saruji za mjeda adhabu yake ilikuwa ni kunywa uji wa saruji.
Kwan Geshi limefundishwa Ustaarab linHuu ni ukatili dhidi ya binadamu hauna nafasi katika jamii zilizostaarabika.
Ukikataa ndo unaning'iniziwa Tofar km ivoo,, so bora kichura au kujibwaga bwawa la majtaka isameheweKisheria hakuna taasisi yeyote Tanzania hii yenye mamlaka ya kumpa mtu adhabu. Inatakiwa ukatae, aamue kukupiga risasi ufe au akupeleke polisi wakufungulie kesi kwa mujibu wa sheria.
Vinginevyo kama wanawafanya hivi raia tutawachukia mtaani na tunaweza kuwadhuru pia.
Wasisahau kuwa tunaishi nao mtaani

Utakuwa sio dereva wwHawa jamaa nuksi kweli niliingia kambini kwa mbwembwe na gari la kuazima napiga honi karibu na maeneo ya hospital yao akaja mmoja ananiambia chagua moja
Uruke kichura mpaka ulikotoka na urudie gari lako kwa kichura kutokea huko au urudi kwa Rivasi mpaka barabara kuu piga hesabu sasa ngoma uichekeche kutoka pale hospitalini mpaka barabara kuu nilikoma mbona na nimesimamiwa mpaka barabara hakuna kutoa kichwa nje tumia sidemirror
! Adhabu ya pili ni kama kakusamehe tu labda kama udereva wako ni wa kwenda mbele tuNingewashinda hapo kwenye reverse. .kwangu isingekuwa adhabuHawa jamaa nuksi kweli niliingia kambini kwa mbwembwe na gari la kuazima napiga honi karibu na maeneo ya hospital yao akaja mmoja ananiambia chagua moja
Uruke kichura mpaka ulikotoka na urudie gari lako kwa kichura kutokea huko au urudi kwa Rivasi mpaka barabara kuu piga hesabu sasa ngoma uichekeche kutoka pale hospitalini mpaka barabara kuu nilikoma mbona na nimesimamiwa mpaka barabara hakuna kutoa kichwa nje tumia sidemirror
Wacha kujiteteaWewe unajua barabara ya jeshi ile
Ni mbovu halafu ilikuwa wakati wa maska barabara ilikuwa na makorongo ya kutosha so kuna sehemu inabidi utoe kichwa nje
halafu inatakiwa uwe na heshima
nimeanza kuendesha gari 1986 Fiat aka mbaula gari la babu huko maporini kijiji kimoja kinaitwa
Bupandwamhela kila nikienda likizo kazi yangu kusomba pamba na mazao ya wanakijiji
... Udereva wako wa kizamani